DROO YA KOMBE LA SHIRIKISHO IPO NAMNA HII
LEO Aprili 5 imechezwa droo ya Kombe la Shirikisho pamoja na ile ya ligi ya Mabingwa Afrika. Kwa upande wa Tanzania wawakilishi ni Simba ambao walikuwa kundi D na kwenye kundi hilo wamepenya sawa na RS Berkane wote wakiwa na pointi 10. Hivi ndivyo ambavyo kazi itakuwa:- Simba v Orlando Pirates hii ni ya Afrika…