AIR MANULA KATIKA ANGA ZA KIMATAIA KAKIWASHA

HAKUNA anayejua itakuaje sasa kwenye hatua ya robo fainali baada ya Simba kufanikiwa kupenya hasa kwenye upande wa lango nani ataanza kati ya Aishi Manula,Beno Kakolanya ama Ally Salim. Weka kando kuhusu kufikiria nani ataanza lakini chaguo namba moja ni Manula ambaye amekuwa kwenye mwendelezo bora awapo langoni. Hapa tunakuletea namna nyota huyo alivyotimiza majukumu…

Read More

CITY YATINGA NUSU FAINALI UEFA CHAMPIONS LEAGUE

MANCHESTER City inayonolewa na Kocha Mkuu,Pep Guardiola inatinga hatua ya nusu fainali baada ya kulazimisha sare ya bila kufungana mbele ya Atletico Madrid. City inakata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League ikiwa katika Uwanja wa Wanda Metropolitan kwa jumla ya bao 1-0 . Manchester City beki wao John Stones amesema…

Read More

YANGA:TUNAZITAKA POINTI TATU ZA SIMBA

HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa nguvu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao wa watani wa jadi dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Aprili 30,Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo utakuwa ni wa mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 0-0 Yanga. Bumbuli…

Read More

ALLIANCE FC KUANZA NA NJOMBE MJI 8 BORA

WAKATI kesho Ijumaa michuano ya fainali ya Ligi Daraja la Kwanza hatua ya nane bora ikitarajia kuanza kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza, Kocha Mkuu wa Alliance FC, Ibrahim Makeresa amesema kikosi chake kipo tayari kwa kazi. Kocha huyo amesema kuwa kila mchezaji yupo tayari kwa ajili ya kupata matokeo kwenye mechi za hatua ya 8…

Read More

SIMBA YAGOMA KUWA DARAJA,YAWAITA MASHABIKI KWA MKAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hautakuwa daraja kwa wapinzani wao,Orlando Pirates ya Afrika Kusini katika mchezo wao wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba wanatarajia kuwa wenyeji wa Orlando Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar na baada ya hapo watarudiana Aprili 24, huko Sauzi Ahmed Ally, Meneja wa Kitengo cha Habari…

Read More

TANZIA:MAUNDA ZORRO ATANGULIA MBELE ZA HAKI

MSANII wa Bongofleva, Maunda Zorro amefariki dunia kwa ajali ya gari, usiku wa kuamkia leo, April 14, 2022 baada ya gari alilokuwa amepanda aina ya VITZ kugongana uso kwa uso na lori la mchanga Kigamboni, Dar es Salaam. Kaka wa marehemu ambaye pia ni msanii wa Bongofleva, Banana Zorro, akizungumza na chombo kimoja cha habari, amethibitisha…

Read More

MAYELE ALIKUWA KWENYE HESABU ZA SIMBA

IMEELEZWA kuwa mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Yanga, Fiston Mayele alikuwa kwenye hesabu za mabingwa watetezi Simba. Nyota huyo ni ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga na amekuwa kwenye mwendo mzuri wa kucheka na nyavu huku akikubalika na mashabiki wengi ikiwa ni pamoja na wale wa Simba. Mtindo wake wa kutetema umekuwa…

Read More

RATIBA YA MECHI ZA LIGI KUU BARA

BODI ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) imepanga na kutangaza tarehe za mechi ambazo awali zilikuwa hazijapangiwa tarehe zake na imeweka wazi kwamba itaendelea kuzipangia tarehe mechi zote ambazo kwenye ratiba iliyoanza lakini hazikupangiwa tarehe. Ratiba ipo hivi:- Aprili 23,2022 Yanga v Namungo FC, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku Mei 5,2022 Biashara United v Dodoma…

Read More

SAFARI NI NDEFU KUWEZA KUTOBOA KWENYE SOKA

DUNIA iliibatiza Afrika na nchi zake kuwa sehemu ya dunia ya tatu,ikiamini kuwa ni  dunia ambayo maisha ya mwanadamu wa kawaida yapo kwenye changamoto lukuki zinazofanya ndoto nyingi za vijana wa bara hili kuishia njiani au kutimiza kwa shida mno. Waafrika hupitia njia nyingi sana za shida, vikwazo vya kila aina katika kutimiza ndoto zao….

Read More

PRISONS YASHINDA BAADA YA SIKU 100

KLABU ya Tanzania Prisons ilikuwa kwenye kipindi cha mpito kwenye maisha yake ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na kushindwa kuvuna pointi tatu kwenye mechi ambazo walikuwa wanacheza. Katika Ligi Kuu Bara ni timu ambayo ilikuwa kwenye nafasi ya 16 mpaka mzunguko wa kwanza ulipokamilika na sasa ni safari ya mzunguko wa pili umeanza. Kwa…

Read More

BEKI WA ORLANDO PIRATES AKIMBIZWA HOSPITALI

BEKI wa Orlando Pirates, Paseka Mako alikimbizwa Hospitali kupewa huduma jana Aprili 12 baada ya kupata majeraha walipogongana na kipa Richard Ofori kwenye mchezo wa DStv Premiership dhidi ya Baroka FC uliochezwa Uwanja wa Peter Mokaba. Ilikuwa ni kwenye muda wa nyongeza ambapo beki huyo aliweza kugongana na mchezaji mwenzake ambaye ni kipa Ofori aliyekuwa…

Read More

CHELSEA SAFARI IMEWAKUTA,BENZEMA TATIZO

REAL Madrid safari ya nusu fainali ya Champions League imejibu baada ya ushindi wa jumla ya mabao 5-4 dhidi ya Chelsea. Ni Karim Benzema ambaye alikuwa ni mwiba kwa Chelsea baada ya kupachika bao la ushindi kwa Real Madrid katika muda wa nyongeza. Ilikuwa ni Uwanja wa Santiago Bernabeu mbele ya mashabiki 59,839 ubao ulisoma…

Read More