YANGA WAPIGA HESABU ZA KUITULIZA TABORA UNITED
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga msimu wa 2023/24 wamebainisha kuwa moja ya malengo yaliyopo ni kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Tabora United. Leo Mei 25 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi inakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Tabora United. Mchezo huo ni maalumu kwa Yanga kukabidhiwa taji la ligi ambalo…