YANGA WAPO KAMILI KUWAKABILI AZAM FAINALI
MABINGWA wa CRDB Federation Cup Yanga wameanza hesabu kuelekea mchezo wao wa fainali dhidi ya Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu Yusuph Dabo. Ipo wazi kwamba Mei 30 kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kilitia timu ndani ya Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo ujao. Ukiweka kando kuwa na taji…