BOSI wa Simba, kwenye idara ya Habari na Mawasiliano Ahmed Ally ameweka wazi kuwa timu ambayo itamsajili mchezaji wao Kibu Dennis itafilisiwa kwa kuwa bado mchezaji huyo ana mkataba na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda.
Soccer Football - Premier League - Tottenham Hotspur v Aston Villa - Tottenham Hotspur Stadium, London, Britain - November 26, 2023 Aston Villa's Ollie Watkins in action with Tottenham Hotspur's Emerson Royal REUTERS/Dylan Martinez