AZIZ KI,OKRA WAPEWA KAZI MAALUMU KWENYE DABI

MASTAA wawili wapya kwenye timu zao ambazo zinatarajiwa kukutana leo kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, Azizi KI na Augustino Okra. Leo Aziz KI ambaye ni ingizo jipya ambaye alijiunga na Yanga akitokea Klabu ya ASEC Mimosas atakutana na Okra ambaye alijiunga na Simba akitokea Klabu ya Bechem United ya Ghana. Ni kazi ya kupiga…

Read More

AZAMKA KUNOGESHWA NA RAYVANNY

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa tamasha la AZAMKA ambalo ni maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji wao wapya ni maalumu kwa ajili ya mashabiki. Kesho Agosti 14 Azam FC inatarajiwa kufanya tamasha lao la kipekee ambapo waandaaji watakuwa ni mashabiki wenyewe kwenye mipango kazi yote. Ofisa Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit amesema…

Read More

KANUNI MPYA ZA WACHEZAJI WAKIGENI KUANZA LEO

 BODI ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imebadilisha kanuni baada ya kufanya kikao cha maboresho ya kanuni za Ligi Kuu Bara. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho ambacho kilikaa Agosti 9,2022 jijini Arusha kimekuja na mabadiliko hayo kwa kutoa taarifa kwa familia ya michezo. Kanuni hiyo ni pamoja na ile ya matumizi ya wachezaji…

Read More

MAYELE VIGINGI VYAKE VITATU HIVI HAPA DHIDI YA SIMBA

MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya Yanga, Fiston Mayele aliyefunga mabao 16 kwenye ligi anatarajiwa kukwaa vigingi vitatu Agosti 13, kwenye mchezo dhidi ya Simba. Nyota huyo anashikilia rekodi ya kuwatungua Simba kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa msimu wa 2021/22 wakati huo alipokuwa chini ya beki bora wa msimu Henock Inonga raia wa DR…

Read More

IJUE SABABU YA MASHINDANO MAPYA AFRIKA

RAISI wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika, Patrice Motsepe ametangaza kuanzishwa kwa mashindano mapya ya vilabu Afrika yatakayo julikana kama “CAF Super League” alipokuwa akizungumza katika mkutano mkuu wa CAF uliofanyika hivi karibuni jijini Arusha nchini Tanzania. Michuano hiyo itaanza kutimua vumbi Agosti,2023 ikihusisha timu 24. Malengo makubwa ya michuano hiyo ni kusaidia timu…

Read More

JESUS MOLOKO KAMILI KUIVAA SIMBA,KAMBOLE BADO

JESUS Moloko kiungo wa Yanga kesho anatarajiwa kuweza kucheza kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kiungo huyo alikwama kuanza kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Vipers SC ya Uganda wakati Yanga ilipopoteza kwa kufungwa mabao 2-0 Uwanja wa Mkapa. Nasreddine Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha kwamba watacheza…

Read More

MANULA KUIKOSA YANGA KESHO KWA MKAPA

KIPA namba moja wa Simba, Aishi Manula kesho anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga kutokana na kuwa bado hajawa fiti. Manula alipata maumivu kwenye mchezo wa kimataifa wa timu ya Taifa ya Tanzania dhidi ya Somalia uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Simba, Zoran Maki amesema kuwa…

Read More

MAPILATO YANGA V SIMBA HAWA HAPA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii unaotarajiwa kuchezwa kesho Agosti 13 Uwanja wa Mkapa tayari sti ya waamuzi imewekwa wazi. Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya ufunguzi wa msimu wa 2022/23 unaotarajiwa kuanza Agosti 15,2022. Kwa upande wa mwamuzi wa kati ni Elly Sasii akisaidiana na Mohamed Mkono ambaye atakuwa msaidizi namba moja….

Read More

RASMI YANGA WAMTAKIA KILA LA KHERI BUMBULI

UONGOZI wa Yanga umemtakia kila la kheri Hassan Bumbuli ambaye alikuwa ni Ofisa Habari wa timu hiyo. Taarifa rasmi ambayo imetolewa na Yanga imeeleza kuwa mkataba wa Hassan Bumbuli umekwisha hivyo hataongezewa mkataba mwingine. Bumbuli alikuwa ni Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya kikosi cha Yanga ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine…

Read More

DABI YAO YA KWANZA MASTAA HAWA WA SIMBA

AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba kuna nyota ambao itakuwa ni dabi yao ya kwanza. Chini ya Zoran Maki wachezaji hao ni pamoja na Moses Phiri aliibuka Simba akitokea Zanaco. Pia yupo Nassoro Kapama mzawa kutoka ndani ya Kagera Sugar. Habib Kyombo mzawa kutoka…

Read More

MASTAA HAWA YANGA NI DABI YAO YA KWANZA

AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba. Ni saa 1:00 usiku mchezo huo unatarajiwa huku kila timu ikiwea wazi kwamba inahitaji kupata ushindi. Kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuna mastaa wapya ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza kucheza mchezo wa Kariakoo…

Read More

MZUNGU WA SIMBA USAJILI WAKE WAWAPA JEURI YA KUTWAA MATAJI

BAADA ya uongozi wa Simba kukamilisha usajili wa straika Mserbia, Dejan Georgijevic, mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Ismail Rage, amefunguka kuwa, msimu huu wanakwenda kurudisha mataji yote waliyopoteza msimu uliopita. Simba imeendelea kujiimarisha kwenye eneo lake la ushambuliaji ambapo msimu huu wamekamilisha usajili wa viungo washambuliaji Nelson Okwa, Moses Phiri, Augustine Okrah na straika…

Read More

REAL MADRID WATWAA UEFA SUPER CUP

REAL Madrid wamebeba taji la UEFA Super Cup kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya EIntracht Frankfurt katika mchezo wa fainali uliokuwa na ushindani mkubwa.  Ni mabao ya David Alaba dk 37 na Karim Benzema dk ya 65 yaliweza kuipa taji timu hiyo katika fainali iliyochezwa Uwanja wa Helnsiki usiku wa kuamkia Agosti 11. Licha…

Read More