


CHAMA, SAIDO WAPEWA KAZI MAALUMU SIMBA
UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa mitambo yao yote ya kazi katika kikosi hicho akiwemo Clatous Chama na Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ina kazi maalumu ya kufanya kuelekea mchezo wa ugenini dhidi ya Raja Casablanca. Katika Kundi C la Ligi ya Mabingwa Afrika, Raja ni vinara wakiwa na pointi 13, kwenye mechi tano ambazo wamecheza hawajapoteza…

YANGA YAANZA NYODO CAF
BAADA ya kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shiriko Afrika, uongozi wa Yanga umeibuka na kutamka kuwa levo ambazo wanazo, wao sio wa kuihofia timu yoyote. Kauli hiyo imekuja mara baada ya Yanga kuwafunga mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia katika mchezo wa tano wa Kundi D kunako Kombe la Shirikisho Afrika…

TAIFA STARS YAANZA KUJIFUA MISRI, MAKOCHA WAPYA WAJIUNGA
TAYARI kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars ambacho kitaivaa Uganda katika mechi ya kuwania kucheza AFCON siku chache zijazo, kimeanza maandalizi. Chini ya Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, Taifa Stars imeanza mazoezi ya gym na uwanjani huku kocha mpya wa viungo na wataalamu wa masuala ya video wakiwa wamejiunga na kuanza kazi na kikosi hicho….

PATA MPAKA 97.58%YA DAU LAKO NA DEUCES WILD
Sloti ya Deuces Wild Poker Habari njema kwa wapenda kasino, kama uliwahi kucheza michezo hii ya sloti Aviator, Poker, Roulette kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, basi huu mwingine hutataka ukupite kati ya michezo rahisi kabisa kucheza na kupiga mtonyo mrefu na bonasi kibao ni Sloti ya Deuces Wild Poker kwa jina rahisi ni mchezo…


JASHO LA HAKI KWA SIMBA NA HOROYA LILIVUJA NAMNA HII
JASHO la haki liliwavuja wachezaji wa timu zote mbili ndani ya dakika 90 kusaka ushindi na mwisho wababe wakawa ni Simba. Ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 7-0 Horoya huku wawakilishi hao wakitinga hatua ya robo fainali ilikuwa ni Machi 18,2023 na kazi ilikuwa namna hii:- Aishi Manula Alipiga pasi ndefu dakika ya 2,27,38,41,64,65,73,79,80…

AZAM FC REKODI ZA NYOTA WAO ZINASOMA HIVI
KUNA vingi vya kujivunia kwenye ardhi ya Tanzania ikiwa ni pamoja na mlima Kilimanjaro kutokana na kuwa na kilele chenye ubora. Kwenye ulimwengu wa soka kuna maskani ya Azam FC yalipo maskani ya timu bora ambayo inapambana kuonyesha ubora kwa vitendo, hapa tupo nao kwenye mwendo wa data kutazama kazi zao namna hii:- Mechi nyingi…

VIDEO:YANGA HAWANA HOFU KIMATAIFA,KAZI INAENDELEA
YANGA hawana hofu kimataifa kazi inaendelea baada ya kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika

AZAM FC NA MWENDO WAO ULEULE
MSIMU huu pia haujawa mzuri kwa Azam FC ambayo kila wakati huwa inaanza kwa kuleta ushindani mkubwa. Mateso makubwa ambayo huwa wanapitia kwenye mechi za ugenini bado hawajapata majibu yake hivyo wana kazi ya kuboresha zaidi ili wakati ujao kuwa imara. Miongoni mwa sababu ambazo zimekuwa zikiwapa ugumu Azam FC ni pamoja na kushindwa kutumia…

VIDEO:NABI AFICHUA SIRI KUWATUNGUA WAARABU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amefichua siri ya kupata ushindi mchezo wa kimataifa dhidi ya US Monastir, Uwanja wa Mkapa

MWARABU KAFA NANI ANAFUATA? HUYU HAPA MPINZANI WA SIMBA
Mwarabu kafa Nani anafuata? Huyu hapa mpinzani wa Simba ndani ya Championi Jumatatu

YANGA YATINGA ROBO FAINALI,YALIPA KISASI
YANGA imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia. Hiki ni kisasi ambacho wamekilipa Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwa kuwa mchezo waliokutana nao ugenini nao walitunguliwa mabao 0-2. Ngoma ilikuwa ni mwendo wa mojamoja kila kipindi ambapo Kenned Musonda alianza kupachika bao…

MWEDNO WA RUVU NI WA KINYONGA
MWENDO wa Ruvu Shooting kwa msimu wa 2022/23 hakika ni wa kinyonga kutokana na kushindwa kuwa kwenye ule ubora wao wa kupapasa. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 15 imekusanya pointi 20 baada ya kucheza mechi 25. Ukuta wao umeruhusu kutunguliwa mabao 30 huku ile safu yao ya ushambuliaji ikitupia mabao 16. Timu hiyo imepoteza jumla…

YANGA 1-0 US MONASTIR
UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 US Monastri ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho. Yanga wanapambana kusepa na pointi tatu muhimu kujihakikishia nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Bao la kuongoza limefungwa na Kenned Musonda kipinda cha kwanza dakika ya 33. Musonda ametimiza majukumu yake akitumia pasi ya…

ARSENAL YATEMBEZA 4G
ARSENAL haina utani baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ni Gabrie Martinell dakika ya 28,Bukayo Saka alitupia kambani mawili dakika ya 43 na 74 na ile kamba ya nne ni mali ya Graniti Xhaka ilikuwa dakika ya 55. Bao pekee la wapinzani wao…

YANGA V US MONASTIR LEO WAKUBWA KAZINI
LEO ndiyo leo asemaye kesho huyo ni muongo hatimaye ile siku imewadia na kazikazi kwa wakubwa inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa. Ni wenyeji Yanga chini ya kocha Nasreddine Nabi raia wa Tunisia kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya US Monastir vinara wa kundi D wakiwa na pointi 10 wote wamecheza mechi nne. Hapa tunakuletea…