MUVI YA WANANCHI KUPORWA MCHEZAJI NA WATANI IPO HIVI

UONGOZI wa Simba umefafanua mbinu ilizotumia kuinasa saini ya kiungo Fabrice Ngoma ambaye alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za watani zao wa jadi, Yanga. Nyota huyo aliyekuwa anakipiga Al Hilal ya Sudan alitambulishwa na Simba Julai 14 na alisaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira. Yanga wanatajwa kuwa…

Read More

VIDEO:KOCHA MPYA YANGA HUYU HAPA KUHUSU KAIZER CHIEFS

KOCHA Mkuu wa Yanga Migueli Gamondi amezungumzia kuhusu mchezo wa kesho dhidi ya Kaizer Chiefs. Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya SportPesa Wiki ya Mwananchi ikiwa ni maalumu kwa kuwatambulisha wachezaji wapya na wale waliokuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Yanga imekamilisha usajili wa wachezaji wazawa ikiwa ni pamoja na Jonas…

Read More

MKWARA WA SIMBA ISHU YA CHAMA UPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeibuka baada ya kukamilisha suala la kiungo wake Mzambia, Clatous Chama aliyegomea kambi ya nchini Uturuki kwa kutamka kuwa hawakuwa na hofu ya nyota huyo kutimka kikosini mwao. Hiyo ikiwa ni saa chache tangu kiungo huyo afikie makubaliano na klabu na kukubali kujiunga na kambi hiyo ya maandalizi ya msimu ujao iliyopo…

Read More

WALIOIVURUGA YANGA BADO WAPO SANA

NYOTA wawili walioivuruga rekodi ya Yanga kufikisha mechi 50 bila kufungwa ndani ya ligi bado wapo ndani ya Ihefu baada ya kuongezewa mkataba. Yanga ilicheza mechi 49 bila kufungwa kwenye mechi za ligi ilipokutana na Ihefu ilishindwa kupata sare ama ushindi zaidi ya kufungwa mabao 2-1 na kutibua rekodi hiyo iliyoandikwa na Yanga. Wafungaji kwenye…

Read More

SHERIA MUHIMU KUFUATWA KUEPUKA KESI

MUDA hausubiri kwa sasa ukiwa unazidi kwenda kasi tayari kwa ajili ya msimu mpya ambao upo njiani. Tunaona maandalizi kwa timu zote yanaendelea ikiwa ni pamoja na Namungo ambao wamezindua uzi wao mpya. Yanga wao walitangulia mapema na mazoezi wameanza wakiwa na tamasha la SportPesa Wiki ya Mwananchi, Julai 22 Uwanja wa Mkapa. Singida Fountain…

Read More

MTU TATU NDANI YA SIMBA, KULA CHUMA

MTU tatu kwa mpigo zimetambulishwa ndani ya Simba rasmi baada ya kusaini dili jipya kuwa kwenye familia ya Msimbazi. Ni leo Julai 20 watatu wametangazwa kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Roberto Oliveira. Ni kiungo Idd Chilunda ambaye alikuwa ndani ya Azam FC lakini hakuongezewa mkataba wake kwa sasa…

Read More

YANGA HAWANA JAMBO DOGO BALAA LAO LINAENDELEA

NYOTA kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Pacome Zouzoua ni mali ya Yanga. Nyota huyo ametambulishwa kuwa ni njano na kijani Julai 19,2023. NI miongoni mwa nyota wa Yanga wanaotarajiwa kuonyesha makeke kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kaizer Chiefs. Itakuwa Wiki ya Mwananchi Julai 22 2023 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni siku…

Read More

AIR MANULA MDOGOMDOGO ANAREJEA

AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa namba moja wa Simba taratibu anazidi kurejea kwenye uimara wake baada ya kuwa kwenye mwendelezo wa matiabu ya afya yake. Ikumbukwe kwamba kipa huyo ni chaguo namba moja la Kocha Mkuu, Roberto oliveira hakuwa sehemu ya kikosi kilichocheza Kariakoo Dabi ya mzunguko wa pili ni mikono ya kipa namba tatu…

Read More

MWAMBA MWINGINE AMETAMBULISHWA HUKO

UONGOZI wa Dodoma Jiji umebainisha kuwa upo sokoni kimyakimya kwa ajili ya kuboresha timu hiyo na umekamilisha usajili wa nyota Idd Kipagwile aliyekuwa Polisi Tanzania. Kwa sasa timu zote Bongo zinaendelea na usajili ikiwa ni Yanga ambayo imemtambulisha mzawa mmoja pekee Nickosn Kibabage mpaka sasa ambaye alikuwa ndani ya Singida Fountain Gate. Mbali na Yanga…

Read More

ISHU YA CHAMA, FEI TOTO NI MVURUGANO TUPU

“TUNA mikataba na bado tunahangaika. Suala la Clatous Chama limeniacha hoi. Mikataba ni kama vile haina maana Bongo. How? Tumeambiwa Chama ataenda Uturuki. Safi. Amesaini mkataba mpya? Hapana, kumbe alikuwa na mkataba. “Alitaka kuboreshewa maslahi yake. Walikuwa na makubaliano ya mdomo au katika vipengele vya mkataba? Kama kuna kiongozi mmoja alikuwa kando anavuta fegi akamwambia…

Read More

SINGINDA FOUNTAIN GATE WAZINDUA UZI MPYA

KLABU ya Singida Fountain Gate imezidua uzi mpya kwa ajili ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuanza Agosti 15. Timu hiyo uzi wake mpya una nembo ya Singida Big Stars jina ambalo lilikuwa linatumiwa na timu hiyo msimu wa 2022/23 kabla ya kubadilishwa. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Singida Fountain Gate, Hussein Masanza amesema kuwa…

Read More