
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AL AHLY
YANGA ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Mkapa. Langoni anaanza Djigui Diarra kwenye siku ya leo ambayo inakwenda kwa jina la Bacca Day. Yao Joyce Lomalisa Nondo Dickson Job Maxi Nzengeli Aziz KI Pacome