Skip to content
SIMBA ina kibarua cha kusaka pointi tatu ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Hiki hapa kikosi cha Simba kitakachoanza namna hii:-
Ayoub Lakred
Shomari Kapombe
Mohamed Hussein
Henock Inonga
Che Malone
Ngoma
Kibu Dennis
Sadio Kanoute
Jean Baleke
Saido Ntibanzokiza
Willy Onana