KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA DHIDI YA JWANENG

SIMBA ina kibarua cha kusaka pointi tatu ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Hiki hapa kikosi cha Simba kitakachoanza namna hii:-

Ayoub Lakred

Shomari Kapombe

Mohamed Hussein

Henock Inonga

Che Malone

Ngoma

Kibu Dennis

Sadio Kanoute

Jean Baleke

Saido Ntibanzokiza

Willy Onana