Home Sports WANAOKIMBIZA KWA PASI ZA MWISHO BONGO

WANAOKIMBIZA KWA PASI ZA MWISHO BONGO

KUNA rekodi zinaendelea kuandikwa ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni kwenye upande wa wakali wa kutupia mabao na wale wakali wa kutengeneza pasi za mabao.

Hapa ni baadhi ya wakali wa kucheka na nyavu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara huku wakali kutoka Yanga wao wote walipata nafasi ya kuwakimbiza watano wao wa jadi Simba kwenye Kariakoo Dabi

Previous articleNYUMBANI TUNAPIGA, UGENINI TUNACHINJA
Next articleDESEMBA INAFUNGULIWA KWA KAZI KIMATAIFA