Bashiri na Meridianbet Mechi za Leo

Ijumaa ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia mkwanja sasa tengenzeza jamvi lako na upige pesa hapa. Kivumbi kitakuwa pale BUNDSLIGA kwenye mechi hii inayowakutanisha FC Cologne dhidi ya Werder Bremen. Timu hizi zimepishana pointi 10 pekee huku ushindi akipewa mwenyeji ndani…

Read More

YANGA NDANI YA MORO KUIKABILI KMC

VINARA wa Ligi Kuu Bara Yanga wapo ndani ya Morogoro ambapo waliwasili mapema Februari 15 kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao ujao wa ligi. Ni pointi 40 wanazo kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 15 mchezo wao wa kukamilisha mzunguko wa kwanza ilikuwa Uwanja wa Sokoine ubao uliposoma Prisons 1-2 Yanga wakakomba pointi tatu…

Read More

JKT TANZANIA YAPOTEZA POINTI NYUMBANI MBELE YA SIMBA

WAKIWA ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara wameshuhudia ubao wa Uwanja wa  Meja Jenerali Isamuhyo ukisoma JKT Tanzania 0-1 Simba ukiwa ni mzunguko wa kwanza. Simba inakomba pointi tatu na kufikisha pointi 36 kibindoni baada ya kucheza mechi 15 sawa na watani zao wa jadi Yanga kwenye upande wa mechi ndani ya ligi. Nafasi ya…

Read More

JIBWEDE NA MKWANJA WA MECHI ZA EUROPA LEO

Mambo vipi mteja wa meridianbet? Je unajua kuwa hapa ndio sehemu sahihi za wewe kusuka jamvi lako na kuanza kubashiri mechi zako kwa ODDS KUBWA na machaguo mengi zaidi?. Leo AC Milan, AS Roma, Benfica wote hao na wengine uwanjani unakosaje pesa sasa? Tukianza na mechi ya Benfica Lisbon dhidi ya Toulouse FC, kwanza mechi…

Read More

MAOKOTO NJE NJE LEO KUPITIA UEFA CONFERENCE LEAGUE

Utaratibu wa kuhakikisha wateja wa Meridianbet wanapiga mkwanja utaendelea leo ambapo michezo mbalimbali ya Uefa Conference itaendelea, Huku michezo hiyo ikipewa ODDS KUBWA ili kumuwezesha mteja kupiga mkwanja. Michezo ambayo itapigwa leo katika viwanja mbalimbali itakua imepewa ODDS nzuri kwenye tovuti ya Meridianbet, Hivo ni nafasi kwa mteja kuweza kujipigia maokoto kupitia michezo itakayopigwa leo….

Read More

AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA GEITA GOLD

MATAJIRI wa Dar Azam FC wanazipigia hesabu pointi tatu za Geita Gold kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 16 Uwanja wa Azam Complex. Yusuph Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC mchezo wake uliopita ilikuwa ni kiporo ambapo waligawana pointi mojamoja na Simba. Katika mchezo huo baada ya dakika…

Read More

KOCHA WA CHELSEA KUCHUKUA MIKOBA YA XAVI BARCELONA

Kocha wa zamani wa Chelsea Thomas Tuchel ambaye kwa sasa anainoa Bayern Munich yupo kwenye orodha ya makocha wanaopigiwa upatu kuchukua mikoba ya Xavi Hernandez kunako klabu ya Barcelona. Itakuwa mnamo Januari 27, 2024 kufuatia kipigo cha 5-3 dhidi ya Villarreal, Xavi alifichua kuwa ataondoka Barcelona mwisho wa msimu huu.

Read More