
MDAKA MISHALE AONGEZA DILI KUITUMIKA YANGA
WANANCHI wana uhakika wa kupata huduma ya Djigui Diarra ndani ya kikosi cha Yanga mpaka 2025. Chaguo namba moja la Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameongeza dili jipya kuendelea kuitumikia timu hiyo. Mkataba wake wa mwanzo ulikuwa unagota ukingoni mwishoni mwa msimu huu wa 2022/23. Mchezo wake uliopita kwenye ligi kuu langoni ilikuwa dhidi ya Mtibwa…