
YANGA YAWAITA MASHABIKI KWA MKAPA
ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema ni muhimu kwa mashabiki kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kushuhudia kazi dhidi ya US Monastir. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili ambapo kwa sasa tiketi zinaendelea kuuzwa. Kwenye muda wa hamasa mashabiki wa Yanga wamepata fursa ya kuzungumza na wachezaji wa timu hiyo kwa njia…