MSHINDI WA DROO KUBWA YA BET BONANZA YA SPORTPESA AKABIDHIWA 15,888,000
MSHINDI wa droo ya mwsiho na kubwa ya Bet Bonanza ya SportPesa George Jafari Kimaro, jana asubuhi alifika katika Ofisi za SportPesa kujitambulisha rasmi na pia kuzungumza nasi kuhusiana na ushindi wake huo na kutuelezea machache kumhusu yeye. Akiongea ndani ya Ofisi za SportPesa George anasema,wakati anapokea simu ambayo ilimtaarifu kuhusiana na ushindi wake alikuwa…