>

SIMBA YASHINDA MBELE YA POLISI TANZANIA

KIKOSI cha Simba leo Oktoba 27 kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Bao la ushindi limefungwa na kiungo Rarry Bwalya dakika ya 89 kwa mkwaju wa penalti iliyosababishwa na kiungo Bernard Morrison. Kwenye mchezo wa leo Polisi Tanzania walikuwa kwenye ubora…

Read More

RAIS SAMIA AWAPA VIWANJA WACHEZAJI WA TWIGA STARS

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amewapatia viwanja jijini Dodoma wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars kwa kuibuka mabingwa wa COSAFA 2021. Rais Samia (katikati) akiwa na baadhi ya wachezaji wa Twiga Stars na viongozi mbalimbali. Rais Samia ametoa zawadi hiyo leo Oktoba…

Read More

AZAM FC WAPEWA ONYO NA TFF

BAADA ya uongozi wa Azam FC, kuwasimamisha wachezaji wao, Aggrey Morris, Aboubakary Salum ‘Sure Boy’ na Mudathir Yahaya kwa muda usiojulikana, Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’ limeiagiza timu hiyo kutoa adhabu ya muda maalum. BAADA ya uongozi wa Azam FC, kuwasimamisha wachezaji wao, Aggrey Morris, Aboubakary Salum ‘Sure Boy’ na Mudathir Yahaya kwa muda usiojulikana,…

Read More

FEI TOTO: BADO NINA NAFASI YA KUFANYA VIZURI YANGA

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefunguka kuwa bado anaiona nafasi yake katika kikosi cha timu hiyo kutokana na malengo aliyojiwekea kwamba anahitaji kufanya vizuri zaidi ya sasa ikiwa ni msimu mpya wa 2021/22 umeanza kwa kasi kubwa. Fei Toto anayefundishwa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameanza msimu huu vizuri huku akiwa kinara wa…

Read More

NYOTA SIMBA AIPA UBINGWA YANGA

NYOTA wa zamani wa Klabu ya Simba, raia wa Ghana Nicholas Gyan amesema kuwa Yanga ya msimu huu ni bora kuliko Yanga zote za misimu minne iliyopita na ina nafasi ya kutwaa ubingwa. Gyan alisema Simba hawatakiwi kubweteka badala yake wawe makini kwa kuwa mwenendo wa Yanga ya msimu huu unaonekana bora sana na kila…

Read More

KOCHA MPYA SIMBA APEWA SAA 48,GOMES AITAJA YANGA

OKTOBA 27 Championi Jumatano habari kubwa inazungumzia kuhusu kutimuliwa kwa Didier Gomes aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba na imeeleza kuwa kocha mpya amepewa saa 48, pia kuna ishu ya Gomes kuitaja Yanga, jipatie nakala yako ambayo ina habari kubwa nyingine inayozungumzia mshahara wa makocha huku Nasreddine Nabi wa Yanga akionyesha kuwafunika wote.

Read More

HAJI MANARA:TUMEJIPANGA KUSHINDA MBELE YA AZAM

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanaamini mchezo wao dhidi Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 30 utakuwa na ushindani mkubwa ila wamejipanga kupata pointi tatu muhimu. Akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari katika ukumbi wa mikutano wa Serena Hotel, Manara amesema kuwa wanatambua mchezo utakuwa na ushindani kwa kuwa wanakutana na timu imara….

Read More

GOMES AFUNGUKA KILICHOMUONDOA SIMBA – VIDEO

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Simba, Didie Gomes amesema ameomba kujiondoa kwenye klabu hiyo baada ya kushinfwa kufikia malengo kwenye Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika. “Ninapenda kuwa muwazi kwa mashabiki na wapenzi wa mpira nchini Tanzania, nimeamua kujiuzulu nafasi yangu ya Ukocha Mkuu wa Simba Sc kwa sababu ninaamini ndiyo maamuzi sahihi kwa manufaa ya klabu.”…

Read More

BREAKING: SIMBA YATIMUA MAKOCHA WAKE WATATU

   KLABU ya Simba imetangaza kuachana rasmi na Kocha wake Didier Gomes Da Rosa raia wa Ufaransa baada ya pande zote mbili kufikia maridhiano. Hatua hii inakuja ikiwa ni siku mbili tangu Simba alipoondoshwa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika baada ya kupokea kichapo cha bao 3-1 kutoka kwa Jwaneng Galaxy ya Botswana, juzi…

Read More

MAKOCHA SIMBA KUPIGWA CHINI

MAMBO ni magumu kwenye benchi la ufundi la Simba linaloongozwa na Kocha Mkuu, Didier Gomes ambapo inaelezwa kuwa muda wowote ule wanaweza kuchimbishwa. Mpaka wakati huu makocha wa timu hiyo ikiwa ni Gomes pamoja na Hitimana Thiery ambaye ni kocha msaidizi wa timu hiyo hawajui hatma yao kama wataendelea kubaki ama la. Ilikuwa ni Oktoba…

Read More

SIMBA MATUMAINI MAKUBWA NDANI YA LIGI KUU BARA

KOCHA msaidizi wa Simba, Hitimana Thiery amesema kuwa watarudi kwa nguvu zote kuhakikisha kuwa wanafanya vizuri katika michezo ya ligi kuu mara baada ya kumaliza ratiba yao ya michuano ya ligi ya Mabingwa. Simba mpaka sasa katika michezo ya ligi kuu imefanikiwa kucheza michezo miwili pekee dhidi ya Biashara United na Dodoma Jiji ambapo wamefanikiwa…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU AZAM FC

OFISA Habari wa Yanga,Haji Manara amesema kuwa licha ya kutambua ubora wa Azam FC lakini anaamini kuwa kikosi cha Yanga kina uwezo mkubwa wa kuondoka na ushindi mbele ya Azam FC. Yanga Oktoba 30, katika Uwanja wa Benjamini Mkapa watakuwa na kibarua cha kucheza na Azam FC huku wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza kwa bao…

Read More

POLISI TANZANIA YAWAPIGA MKWARA MABINGWA

UONGOZI wa Polisi Tanzania umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Oktoba 27 wataendelea pale ambapo wameishia kwa kucheza pira chukuchuku ili waweze kusepa na pointi tatu muhimu. Vinara hao wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi tisa kibindoni baada ya kucheza mechi tatu na kutupia mabao matano…

Read More

MWIJAKU AHADI YAKE MPAKA MWANASHERIA

MHAMASISHAJI wa Klabu ya Simba ambaye pia ni mtangazaji Mwijaku ameweka wazi kuwa hawezi kuzungumza ishu yoyote ile kuhusu ahadi yake ya kuweza kutembea bila nguo ambayo aliweza kuiweka hivi karibuni. Shabiki huyo wa Simba aliweka ahadi kwamba ikiwa Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes itafungwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika angeweza…

Read More