>

CAF YAMALIZA BIASHARA YA BIASHARA UNITED

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika, (CAF) limeiondoa timu ya Biashara United ya Tanzania katika mashindano ya Kombe la Shirikisho kwa kutofika uwanjani kwenye mechi dhidi ya Ahly Tripoli ya Libya. Taarifa iliyotolewa leo Novemba 3,2021 na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) imeeleza kuwa CAF imefikia hatua hiyo kwa kueleza kuwa sababu zilizoifanya timu hiyo…

Read More

SIMBA YATAJA MAMBO YANAOITESA TIMU HIYO

KOCHA Mkuu wa Simba, Raia wa Rwanda, Thierry Hitimana amefunguka mambo matatu yanayosababishawashindwe kufanya vizuri tangu kuanza kwa msimu huu. Hitimana amefichua mambo hayo kufuatia Simba kucheza mechi nne katika Ligi Kuu Bara ambapo imefanikiwakushinda mechi mbili na kutoka sare mechi mbili huku ikiwa ya katika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligikuu ikiwa pointi nane. “Tuna mambo matatu ambayo tunapitia lakini jambo la kwanza presha imekuwa kubwa ingawa ni kawaida katika soka lakini kwetu imekuwa kubwa kwa sababu…

Read More

MAYELE ATAJA IDADI YA MABAO ANAYOTAKA KUFUNGA

FISTON Mayele, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa hesabu zake kubwa ni kuona kwamba anaweza kufunga mabao kuanzia 20 jambo ambalo litaipa timu hiyo mafanikio. Kwa sasa mshambuliaji huyo ametupia mabao mawili kwenye ligi aliwafunga KMC na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mayele amesema kuwa anafurahi kufunga na anatarajia kufunga mabao mengi zaidi…

Read More

SIMBA WAVAMIA VYUMBA VYA WACHEZAJI

MARA baada ya kipyenga cha mwisho cha kumaliza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union uliochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, baadhi ya viongozi wa Simba walivamia vyumbani na kufanya kikao kizito na wachezaji wao. Mchezo huo ambao ulimalizika kwa suluhu, matokeo hayo hayakuwafurahisha mashabiki, wachezaji, wala viongozi hao, jambo lililolazimika kikao kizito kufanyika fasta.Hiyo ni suluhu ya pili kwa Simba msimu huu ndani ya Ligi Kuu…

Read More

AZAM FC YAIZIMA GEITA GOLD USIKU

KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina usiku wa kuamkia leo Novemba 3 kilisepa na pointi tatu mazima mbele ya Geita Gold.   Ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 Geita Gold. Bao la ushindi lilipachikwa na mshambuliaji…

Read More

YANGA WAICHAPA RUVU SHOOTING MABAO 3-1 KWA MKAPA

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo Novemba 2,2021. Alikuwa ni Shaban Msala alipachika bao kwa Ruvu Shooting dakika ya 8, kwa shuti kali akiwa nje ya 18 lililompoteza mazima kipa namba moja Djigui Diarra. Kipa Mohamed Makaka aliweza kuwa imara…

Read More

SIFA ZA KOCHA MPYA SIMBA

WAKATI majina mbalimbali ya makocha yakihusishwa kwenda kurithi nafasi ya Didier Gomes ndani ya Simba, mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu ametaja sifa za kocha wanayemtaka.   Mangungu alisema kwa kipindi ambacho wanapitia hivi sasa, wanahitaji kocha ambaye atakuwa tayari kukubaliana na changamoto na kubadili upepo kwa haraka ndani ya timu hiyo.   Mangungu aliongeza kuwa, Simba ni kubwa na imepokea maombi na CV za makocha wenye majina makubwa na…

Read More

JESHI LA YANGA LEO DHIDI YA RUVU SHOOTING

KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya Ruvu Shooting,  Uwanja wa Mkapa kwenye benchi yumo nyota mzawa David Bryson ambaye alikuwa nje kutokana na kusumbuliwa na majeraha. Hili hapa jeshi kamili la Yanga ambalo litaanza:-   Diarra Djigui Kibwana Shomari Shaban Djuma Dickson Job Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Mukoko Tonombe Jesus Moloko Yacouba Songne Feisal…

Read More

NYOTA HAWA WA SIMBA KUIKOSA NAMUNGO KESHO

MAMBO yanazidi kuwa magumu kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kutokana na kuanza kwa mwendo wa kusuasa msimu wa 2021/22 jambo ambalo linapoteza tabasamu kwa mashabiki wa timu hiyo. Ikiwa ipo kwenye maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo, kesho Novemba 4, Uwanja wa Mkapa kuna orodha ya…

Read More

YANGA:HATUPOI, MWENDO ULEULE

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi raia wa Tunissia amesema kuwa wanahitaji pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa leo Novemba 3, Uwanja wa Mkapa.   Manara amebainisha kwamba kikubwa ambacho wanahitaji ni kuendelea na kasi yao ileile ya kucheza na kushinda…

Read More

RUVU YAPANIA KUTIBUA REKODI YA YANGA KWA MKAPA

KUELEKEA mchezo wa leo dhidi ya Yanga, Ruvu Shooting wamefunguka kuwa watatibua rekodi ya Yanga ya kutofungwa kwenye mechi walizocheza kwa msimu huu.   Saa 12:15 leo Yanga wanatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Ruvu Shooting mchezo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki na wapenda burudani. Kocha Msaidizi wa Ruvu Shooting,Rajab…

Read More

GEITA GOLD WATUMA UJUMBE HUU AZAM FC

KUELEKEA kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara kati ya Azam FC dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex uongozi wa Geita Gold umeweka wazi kuwa unahitaji pointi tatu kwenye mchezo huo. Akizungumza na Saleh Jembe, Felix Minziro,  Kaimu Kocha Mkuu wa Geita Gold amesema kuwa waliwatazama Azam FC katika mechi…

Read More

AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA GEITA GOLD

VIVIER Bahati,  Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Yanga matokeo wamesahahu hivyo hesabu zao ni kupata ushindi mbele ya Geita Gold ambao nao wamebainisha kuwa wanahitaji ushindi. Azam FC imetoka kuambulia kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Yanga, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa inatarajiwa kucheza…

Read More

MRITHI WA MIKOBA YA GOMES SIMBA HUYU HAPA

IMEELEZWA kuwa Rhulani Mokwena ni moja ya makocha ambao wanapewa chapuo la kuibuka ndani ya kikosi cha Simba.   Kocha huyo ambaye anaifundisha Mamelodi Sundowns anaweza kuja kuchukua mikoba ya Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga. Mbali na jina la Mokwena pia Mserbia Milovan Cirkovic na Zdravko Logarusic pamoja na Josef Zinnbauer kocha wa zamani wa…

Read More

LWANDAMINA BADO YUPOYUPO SANA AZAM

LICHA ya kuwa na matokeo mabaya msimu huu Kocha Mkuu wa Azam FC, George Lwandamina ameongezewa mkataba wa mwaka mmoja wa kuzidi kukinoa kikosi hicho. Lwandamina alijiunga na Azam msimu uliopita baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha mkuu Mromania, Aristica Cioaba.   Mpaka sasa Azam imecheza mechi nne za ligi huku akishinda moja dhidi ya…

Read More

NYOTA WATATU NDO IMEISHA HIVYO AZAM FC

IMEFAHAMIKA kuwa Azam FC huenda ikaachana na wachezaji wake watatu Suire Boy, Aggrey Morris na Mudathiri Yahaya katika usajili wa dirisha dogo msimu huu.   Taarifa ya Azam iliyotolewa hivi karibuni ilisema kuwa wachezaji hao wameonesha utovu wa nidhamu kwa Meneja wa timu, Jackson Kakolaki, wachezaji wenzao, benchi la ufundi na viongozi kwenye vyumba vya…

Read More