Dodoma Jiji FC vs Fountain Gate ni leo Uwanja wa Airtel
Dodoma Jiji FC vs Fountain Gate ni leo Uwanja wa Airtel saa 8:00 mchana mchezo huo unatarajiwa kupigwa kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Uongozi wa Fountain Gate umebainisha kwamba umefanya maandalizi mazuri kwa ajili ya kuhakikisha wanapata pointi tatu dhidi ya Dodoma Jiji FC. Huu ni mchezo wa…