Okello Atengeneza Historia! Assist 3, Yanga Yaisambaratisha Pamba Jiji FC 3-0
Klabu ya Yanga imeonyesha ubabe mkubwa baada ya kuichapa Pamba Jiji FC mabao 3-0 katika dimba la CCM Kirumba Stadium, Mwanza, kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Nyota wa mchezo alikuwa Allan Okello aliyetoa assist tatu safi (hat-trick of assists), akiongoza ushindi huo mkubwa wa Yanga. Mshambuliaji Mudathir Yahya alifungua pazia dakika ya 8 kwa…