Bodø/Glimt Wazua Taharuki UEFA Baada ya Kuwaangusha Mabingwa

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwa wewe kubashiri nani ambaye unaona atakuwa bingwa?. ODDS za kila bingwa zimekweka, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubashiri leo. Timu ya Bodø/Glimt imeonyesha kuwa imekuja na ushindi wa kimasoko na uthabiti wa kiufundi unaovutia mashabiki kote. Bodøe/Glimt wamejijengea jina kama timu inayopambana, yenye mashambulizi…

Read More

Singida Black Stars yaivutia kasi Azam FC

HUSSEN Masanza, Ofisa Habari wa Singida Black Stars amesema kuwa wapo tayari kwa maandalizi ya mchezo ujao wa NBC Premier League vs Azam FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Airtel, Aprili Mosi 2026 kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu ndani ya dakika 90. Kwenye msimamo Azam FC baada ya kucheza mechi 15, (MP)…

Read More

Mechi 5 zijazo Yanga SC NBC Premier League

MABINGWA watetezi wa NBC Premier League wapo nafasi ya kwanza wakiwa na pointi 38 baada ya mechi 16. Ratiba inaonyesha kuwa mchezo ujao kwa Yanga SC watakuwa nyumbani dhidi ya Wajelajela ambao wanapambania kubaki ndani ya ligi wakiwa nafasi ya 15. Hizi hapa mechi tano zijazo kwa Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves:…

Read More