
FAINALI YA KIBABE LEO KOMBE LA DUNIA
DESEMBA 18,2022 Fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 inatarajiwa kufanyika leo Jumapili kwenye Uwanja wa Lusail Iconi. Mataifa mawili yanakutana kumsaka mshindi atakayesepa na taji hilo kubwa duniani. Mabingwa watetezi Ufaransa wenye Klylian Mbappe dhidi ya Argentina yenye Lionel Messi. Argentina leo watacheza fainali yao ya sita kwenye Kombe la Dunia wakiwa wamepotezwa na…