TAIFA STARS MNA DENI KWA WATANZANIA,INAWEZEKANA

ILIKUWA ngumu kuweza kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza kutokana na mbinu kuonekana kuwa ngumu pia kwa timu zote mbili. Hakika kwa mwanzo mkiwa nyumbani licha ya kwamba Somalia wao walikuwa wenyeji bado wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars mna deni la kulipa. Hakika mashabiki wanapeda kushangilia na kuona matokeo yanapatikana kwa…

Read More

KAMBI POPOTE,TUWAPE WAZAWA MAJINA MAZURI

WAKATI timu kwa sasa zikipambana kusajili wachezaji na kushindana sehemu ya kuweka kambi ulikuwa muda sahihi wa kutambulisha uzi mpya wa msimu wa 2022/23   Kuweka kambi nje ya Tanzania ama ndani ya Tanzania sio jambo kubwa ila unafanya hivyo kwa malengo yapi hapo ni msingi muhim kuzingatiwa. Ndani ya Tanzania kuna sehemu nzuri na…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI KUU BARA 2021/22

ULE ubora wa wachezaji umeonekana kwa msimu wa 2021/22 kila aliyepewa nafasi alifanya kweli na mwisho wa siku kila mmoja kavuna kile ambacho amekipata. Wakati leo Julai 7 Bodi ya Ligi Tanzania wakitarajia kutoa tuzo kwa wachezaji waliofanya vizuri pamoja na kutangaza kikosi bora,hapa tunakuletea kikosi bora kwa msimu wa 2021/22. Mfumo utakaotumika ni ule…

Read More

REKODI ZA WANAOWANIA TUZO YA KIUNGO BORA BONGO

SUALA la muda tu leo kwa wachezaji na watu wa mpira kuweza kupokea tuzo kwa msimu wa 2021/22 kupitia kwa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Ni Julai 7 zinatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Rotana Hotel, hapa Spoti Xtra inakuletea walichokifanya mastaa wanaowania tuzo ya kiungo bora kwa msimu wa 2021/22 ambapo wote wanatoka kikosi…

Read More

UPEPO WA USAJILI UNAHITAJI UMAKINI MKUBWA

IKIWA umetulia kwa sasa na kutazama upepo ambavyo upo lazima utasikia kuhusu namna ambavyo kila mwenye nguvu anaingia sokoni kusaka kile ambacho anakihitaji. Huu ni upepo mzuri hasa kwa kila mmoja kupata kile ambacho anakitaka muda huu wa kufanya maandalizi ya usajili kwa wachezaji ambao wanahitajika. Wapo wachezaji ambao wameshapewa mkono wa kwa heri mapema…

Read More

MSIMU UMEKWISHA,KAZI INAHITAJIKA KWA MSIMU UJAO

ULIKUWA ni msimu mzuri kwa kila mmoja na mashabiki wameona hali halisi hasa maana ile ya mpira kuchezwa kwa ushindani na uwazi ndani ya dk 90. Suala la kushuka daraja na bingwa hilo limeweza kuwa miongoni mwa taarifa ambazo zipo mikononi mwa familia ya michezo kwa wakati huu. Champioship imeshatoa timu zake mbili ambazo zitashiriki…

Read More

NGUVU IWE KUBWA MAANDALIZI KOMBE LA DUNIA

TAYARI mambo yameshakuwa hadharani kwa wawakilishi wetu kimataifa kwa upande wa Wanawake katika Kombe la Dunia. Hatua ya kwanza waliweza kuipiga ilikuwa ni kuweza kufuzu na kushiriki Kombe la Dunia kwa timu ya Wanawake ya Tanzania, U 17, Serengeti Girls katika hilo kila Mtanzania alitoa pongezi. Kwa sasa ni muda wao wa kuweza kuanza kujipanga…

Read More

WAKATI MWINGINE KUPIGA HESABU KIMATAIFA

WAKATI mwingine tena wa kukamilisha hesabu kwenye mipango ya kimataifa hasa kwa timu ambazo zinakibarua cha kufanya hivyo kimataifa. Haikuwa kazi ngumu kwa msimu uliopita kwa timu za Tanzania kuweza kupeta kimataifa kwa kuwa kila timu ilikuwa inakwenda kwa mwendo wake wa kusuasua. Azam FC licha ya kuwa imara kwenye miundombinu pamoja na wachezaji wazuri…

Read More

KAZI YA JOB MBELE YA COASTAL UNION ILIKUWA PEVU

DICKSON Job beki wa Yanga ni mtu wa kazi ambapo kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union wakati Yanga wakitangazwa kuwa mabingwa aliweza kuwa kwenye ubora. Jumla alipiga pasi 80 na katika pasi hizo alizotoa ni moja pekee iliweza kupotea kwa kutofika mahali ambapo alikuwa anahitaji ifike. Katika pasi hizo mguu ambao anapenda kuutumia…

Read More

MAMBO MAKUBWA MAWILI YA KUFANYA KWA SASA

MAMBO makubwa mawili kwa sasa yapo kwenye hesabu za kila mmoja,mwisho wa msimu pamoja na mwanzo wa msimu mpya. Haya lazima yaweze kuzunguka kwenye familia ya mpira hasa ukizingatia kwamba muhimu kila mmoja kufanya yale ambayo yanamuhusu kutimiza. Ukweli ni kwamba kila timu iwe ni ya ligi pamoja na zile ambazo zilikuwa kwenye Championship zina…

Read More

USAJILI UZINGATIE MAPENDEKEZO YA BENCHI LA UFUNDI

BADO dirisha la usajili halijafunguliwa rasmi kwa sasa ila muhimu kuongeza nguvu kwenye vikosi ikiwa ni maandalizi ya msimu ujao ambao upo njiani kuweza kuanza tena.  Kikubwa kwa sasa ni kuanza kupitia yale mapendekezo ya mwalimu ambayo alitoa kuna yale majalada ya wakati ule wa usajili wa dirisha dogo mahali ambapo hapakukamilishwa basi pafanyiwe kazi….

Read More

MASTAA HAWA WAMEANZA KUONYESHA MAKEKE JIONI

MUDA wa mahesabu wapo ambao huwa hawajali itakuaje zaidi ya kuendelea kupambana mpaka wanafikia lengo lao wakiamini kwamba anayecheka mwisho huwa na furaha zaidi. Kuna mastaa msimu wa 2021/22 kwao walianza kwa kusausa na sasa ligi ikiwa inakaribia kumeguka kwa shimo limeanza kutema jioni kabisa namna hii:- Jeremia Juma Staa wa kwanza kufunga hat trick…

Read More

TUWEKEZE NGUVU KUBWA SOKA LA WANAWAKE

PONGEZI kubwa kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17, Serengeti Girls kwa kuweza kutanguliza mguu mmoja hatua ya kufuzu Kombe la Dunia. Ushindi walioupata nchini Cameroon una maana kubwa hivyo ni zamu yao kuweza kuendeleza ule mwendo ambao wameanza nao bila kuchoka. Tuna amini kwamba mchezo wa marudio utatoa picha…

Read More