SUALA la muda tu leo kwa wachezaji na watu wa mpira kuweza kupokea tuzo kwa msimu wa 2021/22 kupitia kwa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ni Julai 7 zinatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Rotana Hotel, hapa Spoti Xtra inakuletea walichokifanya mastaa wanaowania tuzo ya kiungo bora kwa msimu wa 2021/22 ambapo wote wanatoka kikosi cha Yanga:-
Feisal Salum
Kiungo huyu Fei kacheza mechi 26 na kuyeyusha dakika 2,071 katupia mabao 6 akiwa na asisti 4 na ameonyeshwa kadi za njano jumla ni 3 kwenye mechi tofauti za ligi na hizi hapa ni mechi zake:-
Mechi zake
Kagera Sugar dk 77
Geita Gold,dk 90
KMC,dk 90
Azam FC dk 90
Ruvu dk 80
Namungo,dk 90
Mbeya Kwanza dk 90
Simba,dk 90
Prisons dk 67
Biashara United,dk 90
Dodoma Jiji,dk 74
Coastal Union dk 80
Mbeya City,dk 40
Mtibwa Sugar dk 90
Geita Gold,dk 90
KMC,dk 90
Namungo,dk 90
Simba,dk 79
Ruvu Shooting,dk 45
Prisons,dk 90
Dodoma Jiji,dk 77
Biashara United,dk 90
Coastal Union,dk 85
Polisi Tanzania,dk 90
Mbeya City,dk 10
Mtibwa Sugar dk 90
Sure Boy
Salum Aoubhakari,’Sure Boy’ aliibuka ndani ya kikosi cha Yanga akitokea Azam FC ambapo alipokuwa huko msimu wa 2021/22 alishindwa kuanza kikosi cha kwanza kutokana na kusimamishwa kwa kile kilichoelezwa ni utovu wa nidhamu mpaka alipoomba kuondoka hapo.
Akiwa ndani ya Yanga msimu huu amecheza mechi 14 kasepa na dakika 1,033 ameonyeshwa kadi za njano mara 2 kwenye mechi tofauti za ligi akiwa na asisti 1 na hizi hapa ni mechi zake:-
Dodoma Jiji,dk 7
Mbeya City,dk 7
Mtibwa Sugar,dk 72
Kagera Sugar,dk 86
Geita Gold,dk 90
KMC dk 90
Azam FC dk 90
Namungo,dk 12
Simba,dk 1
Ruvu Shooting, dk 90
Prisons, dk 70
Dodoma Jiji dk 90
Mbeya Kwanza dk 59
Polisi Tanzania,dk 90
Mbeya City,dk 90
Yannick Bangala
Kiungo huyu ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi akiwa amecheza mechi 23 kayeyusha dakika 2,074 ana asisti 1 ameonyeshwa kadi za njano 3 kwenye ligi katika mechi tofauti na hizi hapa ni mechi zake:-