
UWANJA WA SIMBA KUGHARIMU BILIONI 30,KAMPENI YAZINDULIWA
UONGOZI wa Klabu ya Simba leo Desemba 17,2021 umezindua kampeni maalumu kwa ajili ya mashabiki,wanachama na wadau kuweza kuchanga fedha kwa ajili ya gharama za ujenzi wa kisasa. Uwanja huo wa Mo Simba Arena gharama zake ambazo zinatarajiwa kutumika ni zaidi ya Bilioni 30 na wameweka wazi kwamba utakuwa ni mchakato endelevu na matumizi ya…