WALIFANYA POA ILA HAWAKUTAJWA KWENYE ORODHA YA TUZO
WAPO watu leo wengine watakuwa kwenye mnuno wa kishkaji kwa kushindwa kusepa na tuzo katika sherehe iliyofanyika Ukumbi wa kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere,(JNICC) ambapo tuzo zitatolewa huku wengine wakiwa na furaha baada ya kusepa na tuzo hizo. Kwenye tuzo hizo kuna baadhi ya mastaa ambao walifanya kazi nzuri ila kutokana…