>

Saleh

WAWAKILISHI WETU KIMATAIFA KAZI IPO KWENU

KUPATA nafasi ya timu nne kushiriki katika mashindano ya kimataifa kunahitaji matokeo mazuri kwa wawakilishi wetu wa kimataifa ambao wana kazi ya kupeperusha bendera. Kufanya kwao vizuri kwenye mechi za mwanzo ni hatua nzuri na inaongeza nguvu ya kupambana kwenye mechi zijazo kwa sababu wamepata sehemu ya kuendelea pale ambapo walikuwa wameishia. Simba ambao ni…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI YA WANAWAKE TANZANIA

UTOAJI wa tuzo umefanyika Oktoba 21 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere uliopo Posta, Dar es salaam.Tuzo hizo ziligawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni ligi kuu, Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama FA na Ligi ya Wanawake. Kutokana na timu ya taifa ya Wanawake kuwa na majukumu ya taifa wengi…

Read More

FEI TOTO ATOA SIRI YA MABAO YA KIDEONI

KIUNGO mzawa wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amebainisha kuwa amezoea kufunga mabao magumu jambo ambalo halikumpa shida kuwatungua KMC.   Nyota huyo ambaye juzi Jumanne alifunga bao la kideoni nje ya 18 na kutoa asisti katika ushindi walioupata Yanga wa mabao 2-0, amesema ataendelea kufunga kwa staili hiyo kila akipata nafasi.   Akizungumza na…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI YA WANAUME

Utoaji wa tuzo umefanyika Oktoba 21 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere uliopo Posta, Dar es salaam.Tuzo hizo ziligawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni ligi kuu, Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama FA na Ligi ya Wanawake. Kikosi bora cha Ligi ya Wanaume 1. Aishi Manula 2. Shomari Kapombe 3….

Read More