YANGA RAHA,KIUNGO MALI AUBALI KUTUA SIMBA
YANGA raha yatwaa ubingwa bila kufungwa ndani ya Spoti Xtra Jumapili
YANGA raha yatwaa ubingwa bila kufungwa ndani ya Spoti Xtra Jumapili
KIUNGO aliyedumu akiwa na uzi wa Simba kwa miaka miwili, raia wa Zambia, Rally Bwalya, amesema kuwa kucheza kwenye Ligi Kuu Afrika Kusini na klabu ya Amazulu FC ni kutimiza ndoto ambayo alikuwa nayo muda mrefu. Bwalya alisema kuwa Amazulu ni moja kati ya timu kubwa Afrika Kusini na anaamini itakuwa sehemu ya yeye kuelekea…
LEO ndio Leo, siku ambayo mashabiki, wapenzi na wanachama wa Yanga waliisubiri kwa muda mrefu, kupokea kombe lao la ubingwa wa 28 wa ligi kuu Tanzania bara na kuzunguka nalo mji mzima wa Dar es Salaam na viunga vyake… Sasa Global TV tupo Airport ya Mwl Julius Nyerere tukiwasubiri Yanga wakitokea Mbeya na tutakuonesha kila…
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mzambia, Lazarus Kambole, amefunguka kuwa moja ya malengo yake ni kuhakikisha anaipa Yanga makombe mengi pamoja na kufikia malengo ya michuano ya kimataifa msimu ujao. Kambole amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ambayo ameachana nayo baada ya mkataba wake kumalizika. Mshambuliaji huyo ana…
Mmiliki mpya wa Klabu ya Chelsea, Todd Boehly amekutana na Jorge Mendes ambaye ni Wakala wa Cristiano Ronaldo ikidaiwa wamezungumza kuhusu usajili wa Mshambuliaji huyo raia wa Ureno Inaelezwa walikutana wiki iliyopita na mazungmzo yanaendelea. Mkataba wa Ronaldo ndani ya United umebaki mwaka mmoja, klabu hiyo ina nia ya kuendelea naye lakini kumekuwa na taarifa…
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Mbeya City dhidi ya Yanga umekamilika Uwanja wa Sokoine kwa timu zote mbili kugawana pointi mojamoja. Ni Yanga walianza kupata bao la kuongoza kwenye mchezo wa leo uliokuwa na ushindani mkuwa mwanzo mwisho. Bao la Heritier Makambo ilikuwa dk ya 39 liliweza kujazwa kimiani na lilidumu mpaka dk…
KOMBE Jipya la Ligi Kuu Bara la NBC lipo Uwanja wa Sokoine, Mbeya,ambapo mabingwa wa msimu wa 2021/22 watakabidhiwa mara baada ya kukamilisha dk 90 mbele ya Mbeya City. Kwa sasa mchezo ni mapumziko ampabo ubao unasoma Mbeya City 0-1 Yanga mtupiaji akiwa ni Heritier Makambo dk ya 39 kwa shuti lililoweza kugonga mwaba kabla…
HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Mbeya City,Uwanja wa Sokoine Mbeya hiki hapa:- Diarra Djuma Yassin Mwamnyeto Job Bangala Aucho Sure Boy Ushind Makambo
ANAANDIKA Dickson Job,beki wa kikosi cha Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Starsnamna hii:-Habari watanzania. Mimi ni DICKSON JOB mchezaji wa Klabu ya Yanga. Nawakaribisha kutuunga mkono Katika siku maalumu tuliyoiandaa kwaajili ya kutoa Shukran zetu kwa jamii tuliyoipa jina la WAPE TABASAMU itakayofanyika tarehe 08/07/2022 Mkoani Morogoro. Siku hii ni maalumu kwaajili ya…
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool anaamini kwamba kuondoka kwa Sadio Mane ni jamo gumu kwake kwenda nalo sawa kwa sasa. Mane raia wa Senegal sasa atakuwa ni mali ya Bayern Munich baada ya timu hiyo kukamilisha usajili wake. Unakuwa ni usajili wa tatu kwa Bayern Munich kukamilika ambapo Mane anakwenda kuchukua mikoba ya Robert…
LEO Juni 25 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo ratiba yake ni moto kwa timu zinazopambana kushuka daraja kwa kuwa hatma yao itaanza kufahamika leo. Ni Yanga ambao ni mabingwa wa ligi wao hawana presha zaidi ya kuendelea kusaka rekodi za kutofungwa kwa msimu wa 2021/22 ndani ya ligi Muziki kamili leo utakuwa namna hii:-Coastal…
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo kitakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya City kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Jana wachezaji wa Yanga ikiwa ni pamoja na Zawad Mauya, Fiston Mayele,Feisal Salum walikuwa ni miongoni mwa nyota ambao walifanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya…
SHIRIKISHO la Kimataifa la Soka (FIFA) limeifungia Klabu ya Geita Gold kusajili wachezaji hadi itakapomlipa aliyekuwa kocha wa timu hiyo Ettiene Ndayiragije. Kocha huyo raia wa Burundi alifungua madai dhidi ya Geita Gold akidai fidia ya kuvunjiwa mkataba pamoja na malipo mengine wakati akiifundisha timu hiyo ya mkoani Geita. Kwa mujibu wa taratibu za FIFA,…
Simba wamepania,yashusha winga Mkenya Dar na unaambiwa Yanga yashituka yafuata beki Ghana ndani ya Championi Jumamosi
CRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa kesho watakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu dhidi ya Biashara United kwenye mchezo wa ligi ambao ni wa mzunguko wa pili
WAKATI wakijua kuwa wataachana na kiungo wao mkabaji, Taddeo Lwanga, uongozi wa Simba upo kwenye mawindo makali ya kumchukua kiungo Cedric Zemba Ekong raia wa Cameroon ili azibe pengo hilo. Simba wanataka kuliboresha eneo lao la ukabaji ambapo Ekong anayeitumikia Apejes FC ya kwao akifanywa kuwa chaguo namba moja. Kikosi hicho kwa msimu huu kimekuwa…
MABOSI wa Yanga wameiangalia ripoti ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi haraka wakachukua maamuzi magumu ya kumfuata beki Mghana, Mohammed Alhassani. Beki huyo anayemudu kucheza namba 4 na 5 anakipiga Klabu ya Heart of Oak inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana ambaye anakuja kuimarisha safu ya ulinzi. Nabi hivi karibuni alisitisha mpango wa kusajili…