Saleh
CITY YAPIGA MTU KIFURUSHI CHA WIKI
MANCHESTER City kwenye mchezo wa UEFA Champions League wamemchapa RP Leipzig mabao 7-0.
Uwanja wa Etihad ulisoma hivyo na kuwapa nafasi ya kusonga mbele kwa...
KUMBE GEITA GOLD WALIPANGIWA KOSI LA CAF MECHI YA LIGI
BAADA ya Geita Gold kuambulia kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Yanga ,Mkurugenzi wa Geita Gold Zahar Michuzi amefunguka na kusema kuwa Yanga waliwapangia...
SIMBA KAMILI KIMATAIFA, JEMBE LA KAZI LAJUMUISHWA KIKOSINI
SIMBA kamili kimataifa, jembe la kazi lajumuishwa kikosini
KIMATAIFA MUHIMU KUUNGANA KUTUSUA
IKIWA watakuja wageni na kuondoka na ushindi nyumbani kweye hatua za makundi mechi za kimataifa ni maumivu makubwa kwelikweli.
Hiana maana kwamba waohawana uwezo wa...
VIDEO:ISHU YA FEISAL KUITWA STARS SIMBA WAFUNGUKIA
ISHU ya Feisal Salum kuitwa Stars shabiki wa Simba afungukia na kutaja siasa za Simba na Yanga zinaleta shida
MATAJIRI WANUNUA MABAO YANGA, BEKI SIMBA AONDOLEWA KAMBINI
MATAJIRI wanunua mabao ya Yanga,beki Simba aondolewa kambini
KIUNGO WA KAZI AREJEA NDANI YA KIKOSI CHA SIMBA
KIUNGO wa kazi ndani ya Simba, Hassan Dilunga amerejea kwenye uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akipambania afya yake.
Nyota huyo...
TANZANIA PRISONS YAGOMEA KUSHUKA DARAJA
MOHAMED Abdalaha, ‘Bares’ Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons amesema kuwa mashabiki wawe na Imani timu hiyo haitashuka daraja licha ya presha ambayo wanaipitia pamoja...
USHINDI UPO KWENYE MECHI HIZI HAPA LIGI YA MABINGWA
UEFA CHAMPIONS LEAGUE kurindima hii leo ambapo leo hii Manchester City atacheza dhidi ya RB Leipzig ambapo City anashikilia nafasi ya pili kwenye msimamo...
HOROYA KUKUTANA NA JAMBO LA TOFAUTI KWA MKAPA
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kila mchezo atafanya mabadiliko kulingana na mbinu za wapinzani wake anaokutana nao.
Timu hiyo ina kibarua cha...
BADO MUDA WA KUPAMBANA KUFIKIA MALENGO
MUDA wa kukamilisha kazi kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ilianza kwa kasi unazidi kusogea kutokana na kila timu kubakiwa na mechi chache mkononi.
Kila mmoja...
NABI KUMALIZA MCHEZO MAPEMA KWA WAARABU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kuna nguvu kubwa kwa wachezaji kupata matokeo mapema jambo linaoongeza nguvu ya kujiamini na kucheza kwa...
MBRAZIL ATUMIA SAA 120, WAHISPANIA WAMFUATA MUSONDA DAR
MBRAZIL atumia saa 120, Wahispania wamfuata Musonda Dar ndani ya Spoti Xtra Jumanne
YANGA YATEMBEZA BONGE LA MKWARA KWA WAARABU
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir ya Tunisia yapo sawa.
Kwenye...
AZAM FC WAPEWA KIKOMBE CHAO MBEYA
KIKOMBE ambacho Azam FC waliwapa Ihefu kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara nao wamekipokea vilevile ugenini.
Katika mchezo wa mzunguko...
TUZO YAMPA NGUVU MUSONDA APANIA KUENDELEA KUTUPIA
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Keneddy Musonda amepata fursa ya kupokea zawadi ya medali kutoka kwa mtoto Lucas Gomez Usoz kutoka Spain huku akiahidi kwamba ataendelea...