
CHAMA ASABABISHA MAJANGA KWA WAARABU
KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amesababisha majanga kwa Waarabu wa Morocco Wydad Casablanca kwa kuwa chanzo cha nyota wao kuukosa mchezo wa marudiano Dar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Desemba 19 saa 10:00 jioni. Simba iliyo kundi B mwendo haijawa kwenye mwendo bora kutokana na kushindwa kupata ushindi katika mechi tatu za hatua…