Saleh
AL AHLY WAMEPIGWA HUKO LIGI YA MABINGWA AFRIKA
MAAJABU ya mpira kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika yameendelea ikiwa ni hatua ya makundi.
Ni Marcelo Allende alipachika bao la mapema dakika ya 4, ngoma...
MTIBWA SUGAR YAPOTEZA POINTI TATU MANUNGU
IKIWA kasi ya Simba itaendelea kwa namna hii mpaka kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa angalau ule ubora wa Simba kwenye anga za kimataifa...
MAYELE KAMILI KUIKABILI GEITA GOLD
FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Geita Gold.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa...
MTIBWA SUGAR 0-3 SIMBA
DAKIKA 45 za mwanzo zimekamilika Uwanja wa Manungu kwa timu zote kuvuja jasho kusaka mabao ya kuongoza.
Mtibwa Sugar 0-3 Simba unasoma ubao wa Uwanja...
AZAM FC WANAIVUTIA KASI IHEFU
KIKOSI cha Azam FC kinatarajiwa kumenyana na Ihefu kwenye mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara.
Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Kali Ongala tayari...
HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA MTIBWA SUGAR
KIKOSI cha Simba dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Manungu, Morogoro
Aishi Manula
Shomari Kapombe
Mohamed Hussein
Joash Onyango
Henock Inonga
Sadio Kanoute
Clatous Chama
Mzamiru
Jean Baleke
Moses...
VIDEO:IKIJIANDAA KUIVAA GEITA GOLD MASTAA HAWA YANGA KUKOSEKANA
KUELEKEA mchezo wa kesho Machi 12 wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Geita Gold kuna mastaa watakosekana kikosi cha kwanza kutokana...
SIMBA INAAMINI ITAPATA UGUMU KWA MTIBWA
JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wanatambua watapata upinzani mkubwa kwenye mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar.
Simba itakuwa Uwanja wa Manungu kusaka...
KMC YAVUNJA REKODI MBOVU YASHINDA KWA MARA YA KWANZA
KMCÂ inayonolewa na Hitimana Thiery iliambulia pointi moja kwenye sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar huku mechi sita wakiambulia kichapo mazima.
Timu hiyo...
KOCHA SIMBA AKILI NYINGI, MABOSI YANGA WASHTUKA
ROBERTINHO akili nyingi Simba,mabosi Yanga washtuka, waingia msituni ndani ya Championi Jumamosi
YANGA, WINGA BAMAKO MAMBO SAFI
KWA mara ya pili Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amekutana na winga Real Bamako ya nchini Mali, Cheickna Diakite na kufanya naye...
BEKI YANGA AITIKISA AFRIKA
BEKI Yanga aitikisa Afrika kwenye anga za kimataifa ambaye ni nahodha wa kikosi hicho akiwa kwenye mwendo wake
SIMBA YAIFUATA MTIBWA SUGAR
KIKOSI cha Simba leo Machi 9 2023 kimeibukia Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar.
Chini ya Kocha Mkuu,...
UNAMBIWAJEE UNAPOCHEZA SLOTI YA AVIATOR-MERIDIANBET UNAPATA MIZUNGUKO 500 YA BURE KILA...
Haijawahi kuwa kinyonge pale Meridianbet wanapoanzisha jambo lao, mwezi huu tena wamekuja na sloti ya Aviator, ndani ya Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unambiwa...
WASHIKA BUNDUKI WATAMBA KUFANYA KWELI EMIRATES
BAADA ya sare ya kufungana mabao 2-2 katika mchezo wa Europa League raundi ya 16, Mikel Arteta amesema wapinzani wao watakwenda Emirates.
Katika mchezo huo...
NABI ACHARUKA YANGA, AMSHUKIA MAYELE
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa hakufurahishwa tabia ya ubinafsi iliyokuwa ikifanywa na mshambuliaji wa timu hiyo, Fiston Mayele licha ya...