Yanga Yawatambulisha Hussein Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa FC
Klabu ya Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya baada ya kutangaza rasmi usajili wa wachezaji wawili kutoka Mashujaa FC ya Kigoma. Yanga imemaliza usajili wa mshambuliaji Hussein Mihambo, ambaye anajiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji kufuatia kuondoka kwa mshambuliaji Prince Mpumelelo…