NBC Premier Leagu inaendelea ikiwa ni mzunguko wa 4 kwa sasa 2026/27. Hii hapa ratiba ipo namna hii:-
Mashujaa FC vs Kagera Sugar, Uwanja wa Lake Tanganyika, Agosti 27,2026
Simba SC vs Coastal Union, Uwanja wa Meja Jen Isahmuyo, Agosti 27,2026
Fountain Gate vs Mbeya City, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Agosti 28,2026
Geita Gold vs Azam FC, Uwanja wa Bukombe, Agosti 28,2026
Yanga SC vs Pamba Jiji FC, Uwanja wa KMC Complex, Agosti 28,2026
TRA United SC vs Dodoma Jiji FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Agosti 29,2026
Singida Black Stars vs Polisi Tanzania, Uwanja wa Airtel, Agosti 29,2026
JKT Tanzania vs Namungo FC, Uwanja wa Mej. Gen. Isamuhyo, Agosti 29,2026
…
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, Moyo Wangu Unavuja Damu na Msichana wa Maisha Yangu. Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.
Msichana wa Maisha Yangu ni simulizi mpya ambayo inazungumzia nguvu ya ahadi na mabadiliko ya teknolojia ikiwemo matumizi ya AI. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM.