JKT Tanzania Wamjulia Hali Pacome, Wahabi Aomba Dua
Mchezaji wa JKT Tanzania FC, Hassan Wahabi, leo amefika katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam na kuongoza dua ya kumuombea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, aliyelazwa kutokana na maumivu aliyoyapata katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kati ya JKT Tanzania na Yanga SC. Wahabi, ambaye bila kukusudia alihusika…