>

BOSI WA MAN CITY ATIMKIA MAN UTD KUWA CEO MPYA

Manchester United imemteua aliyekuwa CEO wa Man City, Omar Berrada kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mpya klabuni hapo akichukua mikoba ya Richard Arnold aliyebwaga manyanga baada ujio wa Sir Jim Ratcliffe. Ujio wa Berrada Manchester United ni pigo kwa upande wa pili wa Manchester ikizingatiwa Mhispania huyo amefanya kazi kwa karibu na Pep Guardiola na amekuwa…

Read More

GUEDE: NAKUJA KUWAPA FURAHA YANGA

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Joseph Geude raia wa Ivory Coast hatimaye amefunguka kwa mara ya kwanza tangu ajiunge na timu hiyo kupitia dirisha dogo lililofungwa Jumanne ya wiki hii. Mshambuliaji huyo amekuja kuchukuwa nafasi ya mshambuliaji Hafiz Konkoni ambaye ametolewa kwa mkopo kwenda katika klabu ya Dogan Birligi ya nchini Cyprus. Yanga kupitia dirisha dogo…

Read More

MRC Kigamboni Yaishukuru Meridianbet

Kituo cha watu ambao wameathirika na madawa ya kulevya, MRC Muungano, Recovery Community leo hii wameishukuru meridianbet kwa kuwatembelea na kuwapelekea msaada wa chakula na vifaa vya usafi kama vile sabuni.   Baada ya kimya kingi sasa meridianbet wamekuja na kishindo kikubwa cha kurejesha kwenye jamii kama ambavyo huwa wanafanya ambapo leo hii zamu ilikuwa kwa…

Read More

TAIFA STARS KWENYE MIKONO YA MAKOCHA HAWA

KUELEKEA mchezo wa kuwania tiketi ya kutinga hatua ya 16 bora katika Kombe la Mataifa Afrika, Tanzania inatarajiwa kushuka uwanjani kwa mara nyingine dhidi ya Zambia. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Januari 21 baada ya ule wa kwanza kupoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Morocco.Ni Kocha Hemed Selemani Morocco, anachukua nafasi ya Adel Amrouche na…

Read More

NSUE ANAPIGA HESABU ZA UFUNGAJI BORA AFCON

MSHAMBULIAJI wa Equatorial Guinea, Emilio Nsue ametamba kuwa sasa anatamani kuwa mfungaji bora wa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) ikiwa ni baada ya kufunga mabao matatu ‘hat trick’ katika mchezo wao dhidi ya Guinea Bissau. Nsue Alhamisi aliweka rekodi ya kipekee katika mashindano ya AFCON yanayoendelea nchini Ivory Coast baada ya kufunga mabao…

Read More

MWAMBA ALIYETAKIWA YANGA KAMWAGA WINO HUKU

SIMON Msuva winga mzawa ambaye yupo na timu ya Tanzania, Taifa Stars, Ivory Coast kwenye Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON) amesaini dili la miaka miwili Klabu ya Cape Town City ya Afrika Kusini. Nyota huyo aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Yanga ambapo alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za kurejeshwa hapo kwa mara nyingine tena….

Read More

STAY AWAY FROM THE SUN

UNAWEZA kushangaa kuwa Jua ni tatizo hapa Ivory Coast? Ngoja nikukumbushe kile kisa cha AFCON ya Cameroon. Kama unamkumbuka mwamuzi Janny Sikazwe katika mechi ya Mali dhidi ya Tunisia, alizua mjadala kumaliza mechi kabla ya muda na match kamishna akamtaka kurejea kumalizia zile dk 5, akaanzisha tena mchezo na baada ya hapo akapelekwa hospitali. Ishu…

Read More

BETPAWA YANOGESHA AFCON KWA KUTOA ZAWADI

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha ya betPawa imenogesha fainali ya Mataifa ya Afrika (Afcon) inayoendelea nchini Ivory Coast kwa kumwaga zawadi mbalimbali kwa mashabiki. Kampuni hiyo kwa sasa inaendesha kampeni “Soka Live na betPawa” ambapo mbali ya kuwakutanisha mashabiki kuangalia mpira pamoja, pia uwazawadia zawadi mbalimbali kama jezi, mabegi, mipira, vikombe, chupa za maji na…

Read More

VISA ZAIDI YA 10 KWENYE GANZI YA MAUMIVU VILITOKEA

IKUFIKIE popote ulipo kwamba kwenye simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo iliyokuwa ikiandikwa ndani ya Championi Jumatano kuna visa zaidi ya 10 ambavyo vilitokea katika maisha ya kila siku. Ikumbukwe kwamba simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo inaingia kwenye orodha ya simulizi bora zilizopata nafasi ya kuchapishwa ndani ya gazeti la Championi Jumatano…

Read More

SIMBA YAPIGA MKWARAMZITO

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amepiga mkwara mzito kwa kusema kuwa washambuliaji waliosajiliwa watafunga mabao mengi kwelikweli. Ipo wazi kwamba Simba imeachana na Moses Phiri na mshambuliaji wao namba moja Jean Baleke kwenye dirisha dogo la usajili. Nyota wapya waliosajiliwa kwa upande wa ushambuliaji ni Pa Jobe na Fred Michael….

Read More

TAIFA STARS NA MATUMAINI AFCON

NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva amesema kuwa bado wana nafasi ya kufuzu hatua ya makundi kwenye Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON) nchini Ivory Coast licha ya kete ya kwanza kutokuwa na matokeo mazuri kwa Tanzania. Ipo wazi kwamba katika mchezo wa kwanza uliochezwa Januari 17 ilikuwa Morocco 3-0 Tanzania waliomtungua Aishi…

Read More