Home Sports AMEFICHUA SIRI ZA SIMBA BEKI WA KUPANDA NA KUSHUKA

AMEFICHUA SIRI ZA SIMBA BEKI WA KUPANDA NA KUSHUKA

BEKI wa kupanda na kushuka ambaye yupo kwenye ubora wake muda wote akiwa fiti akiwa ni mzawa anayefanya kazi kubwa uwanjani, Shomari apombe amefichua siri ndani ya Simba iliyowafanya wakashindwa kutusua kwenye Mapinduzi 2024 licha ya kuwa kwenye nafasi kubwa ya kutwaa taji hilo ambalo limeibukia Mlandege.

Previous articleTAIFA STARS NA MATUMAINI AFCON
Next articleSIMBA YAPIGA MKWARAMZITO