GAMONDI KWENYE VIATU VYA NABI

TARATIBU Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameanza kuwa kwenye viatu vya Nasreddine Nabi kutokana na mbinu zake kuwa kwenye mrandano wa Nasreddine Nabi aliyewahi kuwa kocha wa Yanga. Nabi alikuwa imara kwenye mbinu za kubadili mchezo kwa kutumia wachezaji walioanza kusugua benchi na walipoingia waliwapa tabasamu mashabiki na wachezaji kiujumla. Ikumbukwe kwamba katika mchezo…

Read More

GAMONDI ATUMA UJUMBE HUU JKT TANZANIA

LICHA ya kwamba mchezo wa mwisho kabla ya JKT Tanzania kushuka daraja na Yanga kukomba pointi tatu bado mabingwa hao watetezi wameweka wazi kuwa wanawaheshimu wapinzani hao. Kwenye mchezo wa mwisho kukutana na Yanga ubao ulisoma JKT Tanzania 0-2 Yanga na mabao yalifungwa na Yacouba Songne na Tuisila Kisinda. Kesho Agosti 29 Yanga wanatarajiwa kumenyana…

Read More

PETER BANDA AKUTANA NA THANK YOU SIMBA

KIUGO Peter Banda hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba msimu wa 2023/24. Usajili wa nyota huyo ulileta mtikisiko ambapo alikuwa anatajwa kupokwa airport na watani zao wa jadi Yanga jambo ambalo lilizua gumzo. Mwisho Simba walimtambulisha ndani ya kikosi hicho na kuzima kele za watani wao wa jadi Yanga kushinda vita ya kuinasa saini ya…

Read More

CHUMA KIPYA SIMBA KINA BALAA HICHO

CHUMA kipya ndani ya kikosi cha Simba ni kiraka kutokana na kupanda na kushuka kwenye kutimiza majukumu yake ndani ya uwanja. Nyota huyo anatambua kwamba msimu wa 2022/23 ni Yanga walitwaa taji la Ligi Kuu Bara huku Simba wakigotea nafasi ya pili. Ikumbukwe kwamba Julai 9, Che Malone Fondoh ambaye ni beki raia wa Cameroon…

Read More

KIMATAIFA FANYENI KWELI KAZI BADO IPO

KUPEWA majukumu katika timu Bongo kwa wachezaji ni jambo muhimu kuzingatia na kila mmoja kufanya kwa wakati kile kinachotakiwa ndani ya uwanja. Kwenye mechi za kimataifa hapo nguvu kubwa zinahitajika mbali na uwekezaji na wachezaji nao wanapaswa kujituma bila kuogopa. Tumeshuhudia namna Singida Fountain Gate walivyopenya hatua inayofuata kwenye Kombe la Shirikisho kwa kupata upinzani…

Read More

PANGA LINAPITA KWA WASHIKA BUNDUKI HUKO

ARSENAL iko tayari kuwauza wachezaji tisa ili wapate fedha kwa ajili ya kumpa nguvu Kocha Mikel Arteta ya kushusha jembe lingine kikosini hapo. The Gunners wametumia mkwanja mkubwa msimu huu wa joto ili kushindana kusaka ubingwa wa Premier ambao msimu uliopita waliukosa dakika za mwisho mbele ya Manchester City. Arsenal wametoa pauni 105m kwa Declan…

Read More

BETO YA VIUNGO SIMBA NI PASUA KICHWA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira amefichua mpaka sasa hana presha yoyote juu ya safu yake ya kiungo kutokana na ubora mkubwa unaonyeshwa na viungo wake wa kati, Mzamiru Yassin na Fabrice Ngoma hali inayopelekea kupata ugumu wa chaguo la kwanza. Ikumbukwe kwamba Simba ilipishana na taji la ligi msimu wa 2022/23 liliobukia Jangwani…

Read More

YANGA 2-0 ASAS DJIBOUT

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Uwanja wa Azam Complex ubao unasoma Yanga 2-0 ASAS Djibout. Ni dakika 45 za burudani kwa Wananchi ambapo wameshuhidia bao la kwanza likifungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 7 akiwa ndani ya 18. Kazi ya pili inayowapeleka Yanga mapumziko wakiwa mbele ni mguu wa Konkoni dakika ya 44 akiwa…

Read More

ISHU YA SALAH KUUZWA UARABUNI IPO HIVI

JURGEN Klopp amesema kuwa Liverpool bado hawajapokea ofa kutoka Saudi Arabia kwa ajili ya Mohamed Salah, huku akisisitiza kuwa staa huyo ambaye amejitolea kwa 100% klabuni hapo hauzwi. Salah, 31, anawavutia mabingwa wa Saudi Pro League, Al Ittihad, ambao wanaripotiwa kuandaa dau la pauni milioni 100 ili kumng’oa Anfield majira haya ya joto. Hata hivyo…

Read More

AZAM FC YATAJA SABABU YA KUKWAMA KIMATAIFA

YUSUPHU Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa wamegotea nafasi ya awali katika Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na kushindwa kutumia nafasi. Azam FC imeyaaga mashindano hayo kwa jumla ya penalti 3-4 baada ya matokeo ya jumla kuwa 3-3. Mchezo wa kwanza ugenini ilishuhudia ubao ukisoma Bahir Dar 2-1 Azam FC katika mchezo…

Read More

SIMBA YAJA NA ONYO ZITO

LICHA ya kufanikiwa kuibuka na pointi sita katika michezo yao miwili ya kwanza ya Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaonya mastaa wa timu hiyo. Miongoni mwa nyota hao ni Clatous Chama na Luis Miqquisone kuhakikisha hawabweteki bali wanapambana kuhakikisha wanashinda kila mchezo ulio mbele yao. Ipo wazi kuwa Simba…

Read More