KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC
KIKOSI cha Simba dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation:- Ally Salim ameanza langoni Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin Jean Baleke Ntibanzokiza Kibu Dennis