Home Sports VIDEO:YANGA YAWACHAMBUA WAPINZANI WAO KIMATAIFA

VIDEO:YANGA YAWACHAMBUA WAPINZANI WAO KIMATAIFA

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa mchezo wao dhidi ya Marumo ya Afrika Kusini hautakuwa mwepesi hivyo wanafanya maandalizi mazuri kwa ajili ya kupata matokeo kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Mei 10,2023.

Previous articleDUBE MWAMBA KWELIKWELI UJUE
Next articleMAKIPA BONGO MAKOSA MUHIMU KUFANYIA KAZI