>

YANGA YAITUNGUA REAL BAMAKO KIMATAIFA

BAADA ya Fiston Mayele kupachika bao la kuongoza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi msumari mwingine umejaa kimiani. Ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 2-0 Real Bamako ikiwa ni mchezo wa kimataifa. Mayele alianza kupachika bao dakika ya 8 akiwa ndani ya 18 lilidumu mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza….

Read More

KMC KAMILI KUIKABILI KAGERA SUGAR

UOGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Machi 9,2023 Uwanja wa Uhuru. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hao kumenyana uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Rekodi mbaya kwa timu zote mbili zimetoka kufungashiwa virago kwenye Azam Sports…

Read More

YANGA 1-0 REAL BAMAKO

YANGA wametumia dakika 10 kuwanyanyua mashabiki wao ndani ya Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Ni hatua ya makundi ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 Real Bamako. Yuleyule Fiston Mayele dakika ya 8 kawatuliza Bamako kwa kufunga bao liliipa uongozi Yanga. Umakini mdogo kwa Mayele ndani ya dakika 45 za…

Read More

MWANA FA:NILIONA MABAO SABA KWA SIMBA

MWANA FA amesema kuwa aliona nafasi saba za Simba kufunga lakini juhudi zao zilikwama na mwisho mfungaji akawa ni Clatous Chama jambo ambalo ni pongezi kwa timu kupata pointi tatu. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa dakika 90 zilizomsa Simba 1-0 Vipers FC ya Uganda. Mwana FA amesema:”Niliona namna wachezaji ambavyo mlikuwa mnapambana kusaka…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA REAL BAMAKO

KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Real Bamako, Uwanja wa Mkapa hiki hapa:- Diarra Djigui Djuma Shaban Joyce Lomalisa Mwamnyeto Job Bangala Kisinda Mudhathir Mayele Aziz KI Musonda Akiba Metacha Bacca Kibwana Mauya Doumbia Aucho Farid Moloko

Read More

MANULA KIMATAIFA KWENYE DAKIKA 180 ZA KICHEKO

SHUKRANI kwa Aishi Manula namna ambavyo amekuwa akizungumza na mabeki wake licha ya makosa ambayo hayazuiliki. Manula kwenye mechi mbili mfululizo anga za kimataifa hajatunguliwa mechi ambazo amekaa langoni dhidi ya Vipers Uganda. Kazi kubwa kwa safu ya ulinzi pamoja na viungo bila kusahau washambuliaji kwa kuwa kuwa wakati walikuwa wanarejea nyuma kulinda. Dakika 180…

Read More

MWAMBA HUYU AINGA ANGA ZA JANGWANI

NYOTA Cheickna Diakite anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga, Nyota huyo anakipiga ndani ya kikosi cha Real Bamako ambacho leo kitatupa kete yake dhidi ya Yanga. Winga huyo ni moja ya wanaofanya vizuri kwenye kikosi hicho ambacho kina maskani yake Mali. Ni miaka 18 anayo kijana huyo akiwa anakipiga ndani ya Real Bamako.

Read More

HELLO THIS IS ANFIELD

THIS is Anfield, kwenye mlango wa kuingilia uwanja wa Anfield unaotumiwa na Liverpool kipo kibango kilichoandikwa maneno hayo. Hii ni Anfield, wakati Jurgen Klopp anatua Liverpool aliwakataza wachezaji kukigusa mpaka pale watakapochukua kombe kubwa. Si kitu kidogo, sio neno la kawaida.Aliwahi kuwepo Bill William Shankly, baba wa Liverpool, kabla hajafa aliwaambia siku akifa mwili wake…

Read More

NYOTA HAWA WA KAZI KUIKOSA REAL BAMAKO

NYOTA wa Yanga, Jesus Moloko kuna hatihati akaukosa mchezo wa leo dhidi ya Real Bamako kutokana na kutokuwa fiti. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Azam Sports Federation dhidi ya Tanzania Prisons ambao ulikuwa ni wa hatua ya 16 bora. Moloko ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ambapo kwenye…

Read More

IHEFU WAKIMBIZA FEBRUARI

IHEFU yenye maskani yake pale Mbeya imepeta kwa Februari baada ya kusepa na tuzo mbili mazima. Ni tuzo ya mchezaji bora ambayo ipo mikononi mwa Yacouba Songne ambaye ni mshambuliaji aliyejiunga na timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga. Yacouba amewashinda wachezaji wenzake ambao ni Elias Maguli wa Geita Gold na  Meddie Kagere wa Singida Big…

Read More

HIVI NDIVYO NGOMA ILIVYOPIGWA MPAKA ROBO FAINALI

NGOMA ilipigwa na mwisho wa siku timu nane zimetinga hatua ya robo fainali Kombe la Azam Sports Federation. Hapa  tunakuletea namna kazi ilivyokuwa kwa wapambanaji hao kusaka ushindi namna hii:- Simba 4-0 African Sports, Uwanja wa Uhuru Ilikuwa Machi 2,2023 ambapo mabao ya Simba yalifungwa na Jean Baleke dakika ya 36,Kennedy Juma dakika ya 47,…

Read More