>

KABWILI AVUNJA UKIMYA YANGA

PAMOJA na kuwepo na tetesi nyingi za kuachwa pale Yanga, kipa chaguo la pili Ramadhani Kabwili, amevunja ukimya kwa kusema yeye bado ni mali ya Wanajangwani hao na kwamba ameomba tu mapumziko kwa muda kisha atarudi kukiwasha kikosini hapo. Kabwili aliyejiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu wa 2016/17 akiwa kinda kabla ya kupandishwa kikosi cha…

Read More

AUCHO, MAYELE KUWAKOSA TAIFA JANG’OMBE MAPINZUZI LEO

MASTAA wa Yanga, Khalidi Aucho na Fiston Mayele, hawatakuwa sehemu ya mchezo wa leo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Taifa Jang’ombe na kwamba wataunguruma dhidi ya KMKM kesho kutwa Ijumaa. Aucho ameshindwa kusafiri na kikosi hicho kufuatia kuomba ruhusa ya kwenda kwao Uganda kwa ajili ya kuiona familia yake, huku Fiston Mayele naye yupo…

Read More

SIMBA WATAMBA KUIVUA UBINGWA YANGA MAPINDUZI

KUELEKEA mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi kesho Jumanne, uongozi wa Simba umetamba kuwa kikosi chao kiko tayari kwa ajili ya mashindano hayo na malengo yao makubwa ni kuwavua ubingwa watani zao wa jadi Yanga. Michuano ya Kombe la Mapinduzi ilianza rasmi jana Jumapili kwa mchezo mmoja kati ya Namungo dhidi…

Read More

AZAM FC YASHINDA KOMBE LA MAPINDUZI

KIUNGO mpya wa Azam FC Ibrahim Ajibu ameanza kazi na uzi huo katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi na alishuhudia timu hiyo ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Meli 4 City. Kipindi cha kwanza timu zote mbili zilishuhudia bao moja pekee lililofungwa na Chilunda dakika ya 13 na lilidumu mpaka dakika ya 45….

Read More

OFISA HABARI MPYA WA SIMBA AWASHUKURU MASHABIKI

OFISA Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amewashukuru mashabiki wa klabu hiyo kwa mapokezi mazuri waliomuonyesha mara baada ya kutangazwa kuitumikia klabu hiyo jana, Jumatatu, Desemba 4, 2022. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Ahmed Ally ameandika; “Msemaji wa Mabingwa nimeamka salama.Kwa nafasi ambayo nimepewa nasema asante na nimefurahi kuwa hapa kwa kuwa ilikuwa ni ndoto yangu….

Read More

NYOTA YANGA ATAKA PASI 15 ZA MABAO

BEKI wa kulia wa Yanga, Djuma Shabani, amefunguka moja ya malengo yake ni kuhakikisha anatoa pasi nyingi za mabao kuanzia 15 msimu huu ambazo zitawasaidia washambuliaji wa timu hiyo kufunga mabao mengi zaidi. Msimu huu ukiwa ni wa kwanza kwa beki huyo, tayari amefanikiwa kutoa asisti tatu ambapo mbili ni katika Kombe la Shirikisho la Azam, huku moja ndani ya Ligi Kuu Bara na kufunga bao moja. Djuma amesema: “Ni furaha kutoa…

Read More

SARAH WA HARMONIZE ATOKELEZEA NA JEZI YA SIMBA

Aliyekuwa mke wa Harmonize @harmonize_tz , @sarah__tz ametokea katika picha zinazoonyesha jezi mpya za Simba ambazo wamezitambulisha Jumatatu, Januari 3, 2022. Sarah ambaye hivi karibuni alionekana kuwa na mmoja wa mameneja wa @diamondplatnumz , @sallam_sk , ametokelezea katika picha hizo akiwa modo wanaotangaza ujio wa jezi ambazo zitatumiwa na Simba katika Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

AUBA AINGIA ANGA ZA NEWCASTLE UNITED

KLABU ya Newcastle United wametuma maombi kwenda Arsenal ili kuipata saini ya mshambuliaji wa klabu hiyo, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, katika dirisha hili. Mshambuliaji huyo ambaye huenda asionekane tena uwanjani akiwa na jezi ya Arsenal amekuwa hayupo kwenye kiwango bora tangu msimu huu uanze na katika siku za hivi karibuni amevuliwa unahodha kutokana na vitendo vyake…

Read More

YANGA ANAYOITENGENEZA KOCHA NABI NI BALAA!

  KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi katika ripoti yake ameagiza kila nafasi ya mchezaji wa kigeni lazima awepo mbadala wake mzawa mwenye uwezo mkubwa kama wake. Yanga tayari imefanikisha usajili wa wachezaji watatu wazawa katika usajili wao wa dirisha dogo lililofunguliwa Desemba 16, mwaka huu ambao unaendelea. Wachezaji hao wapya waliosajiliwa ni Salum…

Read More