>

NI SIMBA V AZAM FC FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI

USHINDI wa mabao 2-0  walioupata Simba leo Januari 10 dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Amaan katika Kombe la Mapinduzi unawafanya waweze kutinga hatua ya fainali. Ni mabao ya Meddie Kagere dakika ya 14 na PapeSakho dakika ya 48 yametosha kuwapa ushindi Simba. Sasa Simba itakutana na Azam FC kwenye mchezo wa…

Read More

DAKIKA 45,SIMBA 1-0 NAMUNGO FC

SIMBA inakwenda mapumziko ikiwa inaongoza kwa kufunga bao 1-0 dhidi ya Namungo FC baada ya dakika 45 kukamilika. Ni Meddie Kagere amepachika bao la kuongoza katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Namungo FC. Bao hilo limepachikwa dakika ya 14 baada ya kipa wa Namungo, kutema mpira uliopigwa na…

Read More

AZAM FC YATINGA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI

MABINGWA wa kihistoria kwenye Kombe la Mapinduzi, Azam FC leo wameibuka na ushindi kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi mbele ya Yanga kwa ushindi wa penalti. Dakika 90 zilikamilika kwa timu zote mbili kutoshana nguvu hivyo mshindi ametafutwa kwa kupitia mikwaju ya penalti. Ilikuwa ni moja ya mchezo wenye ushindani mkubwa ambapo…

Read More

AZAM FC 0-0 YANGA,KOMBE LA MAPINDUZI

KOMBE la Mapinduzi,nusu fainali ya kwanza, Uwanja wa Amaan dakika 45 za awali zimeguka. Azam FC 0-0 Yanga mpaka sasa hakuna timu ambayo imeona lango la mpinzani. Mshindi wa fainali hii ya kwanza atakutana na mshindi wa fainali ya pili ambapo kutakuwa na mchezo kati ya Namungo FC dhidi ya Simba. Mabingwa watetezi wa Kombe…

Read More

KIPA SIMBA AIBUKIA MTIBWA SUGAR

JEREMIA Kisubi, kipa namba tatu wa Simba leo Januari 10,2022 ametambulishwa ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar. Usajili wake ni wa mkopo akitokea Simba ambapo huko alikuwa hapati nafasi ya kuanza katika mechi za ushindani.   Aliibuka ndani ya Simba akitokea Tanzania Prisons ambapo huko alikuwa ni chaguo namba moja la benchi la ufundi. Ni…

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA WAANZA KAZI

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga umeanza kazi kwa ajili ya kuivutia kasi Azam FC kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi unaotarajiwa kuchezwa leo. Januari 10,2022 Yanga ambao ni mabingwa watetezi wana kazi ya kusaka ushindi mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa nusu fainali unaotarajiwa kuchezwa saa 10:15. Fiston…

Read More

ARTETA AKASIRISHWA KUTOLEWA KOMBE LA FA

MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa ni maumivu makubwa wameyapata baada ya kupoteza mbele ya Nottm Forest na kutolewa kwenye Kombe la FA. Katika mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la FA ubao wa Uwanja wa City Ground ulisoma Nottm Forest 1-0 Arsenal. Bao pekee la ushindi lilifungwa na Lewis Grabban dakika…

Read More

MOTO WA KIBU DENNIS HAUPOI

MOJA ya washambuliaji ambao wameweza kuandika rekodi ya kipekee kwa msimu wa 2021/22 ndani ya Simba ni pamoja na Kibu Dennis ambaye alipopata nafasi ya kufunga bao la kwanza moto wake haujazima. Baada ya kufanikiwa kupachika bao hilo kwenye kila mchezo ambao amecheza ndani ya ligi katika mechi nne mfululizo ambazo ni dakika 360 amekuwa…

Read More

PABLO ALITAKA KOMBE LA MAPINDUZI

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanahitaji kulitwaa Kombe la Mapinduzi hivyo leo watapambana kupata matokeo mbele ya Namungo FC. Saa 2:15 usiku Simba itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali. Mshindi wa mchezo wa leo atakutana na mshindi wa mchezo wa nusu…

Read More

KOMBE LA MAPINDUZI RATIBA YA NUSU FAINALI

LEO Jumatatu, Januari 10,2022 inatarajiwa kuchezwa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar ambapo mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa. Ni mabingwa watetezi wa taji hilo ambao ni Yanga wao watamenyana na Azam FC itakuwa ni saa 10:15 jioni. Mchezo mwingine ni ule wa pili ambao utazikutanisha Simba v Namungo, itakuwa ni saa 2:15 usiku. Washindi kwenye…

Read More