>

BEKI WA KAZI KUSAJILIWA YANGA KUONGEZA NGUVU KWA JOB

UONGOZI wa Yanga umefunguka kuwa kuna uwezekano mkubwa wakaingia sokoni na kusajili beki mmoja wa kati mwenye uwezo mkubwa ili kuwa msaada kwa Dickson Job na Bakari Mwamnyeto ambao ndiyo tegemeo kwa sasa. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa Mashindano wa Yanga, Thabiti Kandoro alipokuwa anaweka wazimipango ya timu hiyo kwenye dirisha dogo la usajili ambalo limefunguliwa Desemba 16,mwaka huu na kutarajiwa kufungwa Januari 15, mwakani. Akizungumza na Spoti Xtra, Kandoro alisema viongozi wametazama kikosi na kupitia…

Read More

SALAH HANA JAMBO DOGO ULAYA

MOHAMED Salah raia wa Misri, mshambuliaji wa Liverpool hana jambo dogo akiwa uwanjani kwa kuwa amekuwa ni mtu wa kazikazi. Rekodi zinaonyesha kuwa amecheza jumla ya mechi 162 na ni mechi 155 alianza kwenye kikosi cha kwanza. Katika mechi hizo jumla ya mechi saba alifanyiwa mabadiliko kutokana na sababu mbalimbali. Akiwa ametupia mabao 110 ni…

Read More

YANGA YAMSHUSHA MBADALA WA YACOUBA

USAJILI unaofanywa na Simba na Yanga kipindi hiki cha dirisha dogo ni umafia mtupu kwani hakuna ambayeanataka kuona mchezaji wake akiporwa. Katika kuhakikisha kila timu inafikia malengo yake, imefahamika kuwa, Jumapili Yanga imemshusha kimyakimya kiungo mshambuliaji kutoka nchini DR Congo tayari kwa ajili ya kusaini mkataba wa kukipiga Jangwani. Taarifa zimeeleza kuwa kiungo huyo ambaye kwa sasa jina lake wameamua kulificha kuogopa kuporwa na wapinzani, alitua Jumapili…

Read More

SIMBA NA YANGA ZAKUTANA KWA NYOTA HUYU

UONGOZI wa kiungo fundi kutoka Klabu ya DC Motema Pembe ya nchini DR Congo, Karim KimvuidKiekie umeweka wazi kuwa wapo kwenye mazungumzo na Simba na Yanga ambazo zinahitaji huduma ya kiungohuyo mshambuliaji. Kiekie ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 19 ni miongoni mwa wachezaji wanaotamba nchini DR Congo ambapoakiwa katika umri huo tayari amefanikiwa kuitumikia timu ya taifa katika michuano ya CHAN iliyofanyika mwaka…

Read More

SURE BOY APEWA MIAKA MIWILI YANGA

RASMI kiungo mchezeshaji wa Azam FC, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu usajili wa dirisha dogo ufunguliwe Desemba 16, mwaka huu. Huyo anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na Yanga baada ya hivi karibuni kumsaini kiungo mshambuliaji wa Biashara United, Denis Nkane. Kwa mujibu wa taarifa ambazo limezipata Spoti Xtra, kiungo huyo alisaini mkataba huo baada ya kuvunja mkataba wake na Azam FC. Mtoa taarifa…

Read More

GUARDIOLA AWAPA ONYO MASTAA WAKE

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amewapa onyo mastaa wake Jack Grealish na Phil Foden kutokana na tabia zao za kupenda bata wakati wanajua kwamba wanamajukumu kwenye timu. Nyota hao wawili walishinda klabu usiku wakati wakijua kwamba kuna mchezo dhidi ya Newcastle United hali iliyopelekea kutoweza kupangwa kwenye mchezo huo. Wakati City ikishinda mabao…

Read More

KOCHA GEITA GOLD ATEMBEZA BONGE LA MKWARA

BAADA ya kupata ushindi wa kwanza kwenye ligi kuu kocha wa Geita Gold FC Fred Felix Minziro amefunguka kuwa kwa sasa timu hiyo itaendeleza kupata ushindi kwenye michezo inayokuja mbeleni. Minziro alisema aliichukua timu ikiwa kwenye wakati mgumu ikipata michezo migumu wakiwa ugenini ambayo yote walipoteza wakiwa viwanja vya Dar na waliporudi nyumbani wakapata alama…

Read More

SUALA LA UWANJA, YANGA WAIJIBU SIMBA

MARA baada ya Simba kuanza harakati za ujenzi wa uwanja mpya kwa kuanzisha rasmi mchango kwa ajili ya uwanja huo, uongozi wa Yanga ni kama umejibu mapigo kwa watani zao mara baada ya kuweka wazi mipango yao ya ujenzi wa uwanja. Simba tayari wameshaweka hadharani mchakato wa uchangiaji wa ujenzi wa uwanja huo kupitiasehemu mbalimbali jambo ambalo limeibua gumzo nchini ambapo tayari wapenzi na wanachama wakewameshaanza kuichangia timu…

Read More

AFCON IPO KAMA KAWAIDA

SHIRIKISHO la soka barani Afrika, (CAF) limethibitisha kuwa fainali za kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2022 zitafanyika nchini Cameroon kama ilivyokuwa imepangwa awali. Hii inafuatia wiki kadhaa za mikwara na miongozo ya UEFA na FIFA kutaka AFCON isogezwe mbele. Na sasa ni rasmi maombi hayo yamegonga mwamba na CAF chini ya Rais Patrice Motsepe…

Read More

USAJILI UNAHITAJI UMAKINI,WAAMUZI MNA KAZI A KUFANYA

WAKATI mwingine sasa kwenye ulimwengu wa soka Bongo ni muda wa usajili wa dirisha dogo ambapo ni fursa kwa timu kuboresha pale ambapo wameona kuna matatizo. Usajili wa dirisha dogo huwa hauwi mkubwa sana kwa kuwa ni nafasi chache ambazo zinahitajika kufanyiwa kazi kulingana na ripoti ya benchi la ufundi. Jambo la msingi ambalo linapaswa…

Read More

NTIBANZOKIZA AIPIGA MKWARA SIMBA

SAID Ntinbanzokiza, kiungo mshambuliaji wa Yanga ameweka wazi kwamba watapambana kwa jasho bila kuchoka ili kuweza kupata ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Ni Simba ambao ni mabingwa watetezi huku Yanga wakiwa kwenye kasi ya kuufukuzia ubingwa hni nafasi ya kwanza kwenye msimamo na pointi zao ni 23 baada ya kucheza mechi 9 msimu wa 2021/22….

Read More

SIMBA:TUTAFANYA USAJILI WA MAANA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili watafanya usajili wa maana kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Dirisha dogo la usajili limefunguliwa Desemba 16 na linatarajiwa kufungwa Januari 15,2022 ambapo kwa sasa timu zimeanza harakati za usajili. Akizungumza na Championi Jumatatu,Mwenyekiti wa Simba,…

Read More

ROBO FAINALI YA CARABAO CUP KUCHEZWA WIKI HII

  Wiki yako inawezakuanza vyema kwa kutengeneza faida kupitia Meridianbet. Michezo ya robo fainali ya Carabao Cup na LaLiga Santander kuchezwa wiki hii. Mchongo upo hivi;   Jumanne hii, Sevilla watawaalika FC Barcelona katika muendelezo wa LaLiga nchini Hispania. Timu zote zinahitaji matokeo chanya ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi hiyo. Barca…

Read More

BABA SURE BOY AFUNGUKIA ISHU YA MWANAE KUCHEZA YANGA

BABA mzazi wa kiungo wa Azam FC, Salum Aboubakar ‘Sure Boy’, mzee Aboubakar Salum ‘Sure Boy Sr’ amewekawazi kuwa mtoto wake yupo mbioni kumalizana na mabosi wa Yanga baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuvunja mkataba wa mchezaji huyo na Azam FC kutokana na mgogoro uliokuwepo. Kiungo huyo ni miongoni mwa wachezaji watatu wa Azam FC waliosimamishwa kwa utovu wanidhamu. Wengine ni Agrey Morris na Mudathir Yahya.  …

Read More