>

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO DESEMBA 24

BAADA ya mchezo wao uliopita dhidi ya Kagera Sugar kuahirishwa kutokana na asilimia kubwa ya wachezaji wa Simba kuumwa mafua na homa leo wanatarajiwa kuwa kazini. Desemba 24, Simba inatarajiwa kukaribishwa na Wanakino Boys, Uwanja wa Al Hassan Mwinyi, Tabora. Itakuwa ni KMC v Simba leo. Pia Coastal Union iliyotoka kushinda bao 1-0 dhidi ya…

Read More

NYOTA HAWA WATATU KUONDOKA AZAM FC

JUMLA ya wachezaji nyota  watatu wanatarajiwa kuondoka katika kikosi cha Azam FC kwenda katika timu ya taifa ya Zimbabwe kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON). Wachezaji hao ni beki wa kushoto, Bruce Kangwa, kiungo Never Tigere na mshambuliaji Prince Dube.Nyota hao huenda wakakosekana katika michezo baadhi ya Ligi Kuu Bara na Kombe la…

Read More

BOSI YANGA AFUNGUKA WALIVYOMNASA SURE BOY

RASMI Azam FC imekubali kumuachia kiungo wake, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ na sasa yupo huru kujiunga na Yanga katika usajili huu wa dirisha dogo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu kiungo huyo awasilishe ombi la kuvunja mkataba huo mara baada ya kusimamishwa na viongozi wa Azam. Sure Boy alisimamishwa pamoja na wachezaji wenzake wawili, Mudathiri…

Read More

CHAMA MIKONONI MWA BARBARA SIMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa, ishu nzima ya usajili wa majembe mapya kwenye kikosi cha timu hiyoakiwemo kiungo Mzambia, Clatous Chama kwa sasa inashughulikiwa na Ofisa Mtendaji Mkuu Barbara Gonzalez.Chama aliuzwa na Simba miezi minne iliyopita na kujiunga na RS Berkane ya Morocco akisaini mkataba wamiaka mitatu unaotarajiwa kukamilika 2024. Akizungumza na Spoti Xtra,…

Read More

YANGA YAMALIZANA NA MASHINE TANO ZA MOTO

YANGA rasmi imemalizana na mashine tano ambazo muda wowote zitatambulishwa mara baada ya kufikia muafaka mzuri katika usajili wa dirisha dogo. Dirisha hilo lilifunguliwa mapema Desemba 16, mwaka huu na Yanga imepanga kufanya usajili mkubwa katika kukiimarisha kikosi chao. Wakati wakipanga kusajili wachezaji hao watano, pia wamepanga kuwaacha baadhi ya wachezaji wake Ditram Nchimbi, Paul…

Read More

SALAH ATAMWAGA WINO LIVERPOOL

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa anaamini kwamba nyota wake Mohamed Salah atasaini tena mkataba mpya. Ni miezi 18 imesalia kwa Salah kubaki ndani ya Liverpool ambapo amekuwa akitajwa kwamba anaweza kusepa Anfield. Ilielezwa kuwa tayari Liverpool wameanza mazungumzo na raia huyo wa Misri ambaye amekuwa na ushkaji mkubwa na kucheka na nyavu…

Read More

TANZIA:MAMA HASSAN MWAKINYO ATANGULIA MBELE ZA HAKI

TANZIA:-Mama mzazi wa bondia, Hassan Mwakinyo anayejulikana kwa jina la Fatuma Hassan Siri amefariki Dunia Desemba 22. Alikuwa anasumbulia na tatizo la uvimbe tumboni na alilazwa katika Hospitali ya Muhimbili kwa muda wa siku sita. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwakinyo aliandika ujumbe huu:”Ama kuna siku nimekosa raha ya kila kitu ulimwenguni ni kukukosa wewe…

Read More

HONGERA KOMBA,WENGINE WAJIFUNZE

KWA ambalo limetokea kwa waamuzi wa Tanzania bado kuna jambo la kujifunza ili wakati ujao orodha ya majina ya waamuzi ambao watapewa nafasi ya kuchezesha mashindano ya kimataifa izidi kuongezeka. Mwamuzi Mtanzania, Frank Komba ni yeye pekee ambaye ameweza kupenya kwenye orodha hivyo katika hilo kuna jambo la kujifunza. Kwa Komba kuteuliwa na CAF kuwa…

Read More

LUIS MIQUISSONE ABEBA SUPER CUP AFRIKA

LUIS Miquissone nyota wa zamani wa Simba anaingia katika rekodi ya wachezaji waliosepa na taji la Super Cup baada ya timu yake mpya kushinda. Mchezo uliochezwa Uwanja wa Al Rayyan miamba Al Ahly na Raja Casablanca walitoshana nguvu kwa kufungana bao mojamoja ambapo kwa Al Ahly Taher Mohamed alisawazisha bao dakika ya 90 ambalo Yasser…

Read More

AZAM FC MZIGONI LEO,RATIBA IPO HIVI

LEO Desemba 22 Ligi Kuu Bara inaendela huku mabosi wa Dar baada ya kutoka kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Mbeya City pale Azam Complex wana kibarua kingine tena. Azam FC itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting hawa waze wa mpapaso,pira gwaride pira pasi, Uwanja wa Azam Complex….

Read More

YANGA:TUNAKAMIWA KWENYE MECHI ZETU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nassredine Nabi amesema licha ya kuibuka na ushindi 2-1 dhidi ya Tanzania Prisons, kikosi chake kinakutana na wakati mgumu kwani kila timu wanayokutana nayo inacheza kama fainali dhidi yao. Yanga imefikisha pointi 23 na kuendelea kuwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikifuatiwa na Simba yenye pointi 18 na mchezo…

Read More

SIMBA NDANI YA TABORA KUIVUTIA KASI KMC

KIKOSI cha Simba leo Desemba 22 kimewasili salama Tabora kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kuchezwa Desemba 24, Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Ikiwa ipo nafasi ya pili na pointi 18 baada ya kucheza mechi 8 inakutana na KMC iliyo nafasi…

Read More