SAIDO V MAKAMBO KWENYE VITA MPYA YANGA

UONGOZI wa Yanga baada ya kutangaza kuwa utamkosa mshambuliaji wake Yacouba Songne kwa zaidi ya miezi minne kutokana na majeraha aliyoyapata, mchezaji huyo ni kama ameacha vita ya namba kwa washambuliaji Saido Ntibazonkiza na Heritier Makambo kwa ajili ya kuchuana kuchukua nafasi ya mshambuliaji huyo. Songne aliumia katika mchezo uliopita wa ligi kuu dhidi ya…

Read More

DEAN SMITH APATA DILI JIPYA

KLABU ya Norwich City imemteua Dean Smith kuwa kocha mpya wa kikosi hicho baada ya kumtimua Daniel Farke Novemba 7 mwaka huu. Smith amesaini kandarasi ya miaka miwili na nusu na atasaidiana na Craig Shakespeare kama kocha msaidizi. Smith ambae amefungashiwa virago kutoka Aston Villa, aliisaidia timu hiyo kupanda Ligi Kuu EPL, ndani ya msimu…

Read More

KOCHA SIMBA AWAAMBIA WASAJILI KIUNGO

ALIYEKUWA Kocha wa Viungo wa Simba, Mtunisia, Adel Zrane, amefunguka kuwa anaamini kama Simba inahitaji kutetea ubingwa wake msimu huu, basi ni lazima wahakikishe wanavunja benki kwenye dirisha dogo la usajili na kuongeza angalau kiungo mchezeshaji mmoja mwenye uwezo mkubwa.   Zrane, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes na aliyekuwa kocha wa makipa, Milton Nienov Oktoba 26, mwaka huu…

Read More

POLISI TANZANIA WAPO KAMILI KWA USHINDANI

KOCHA Mkuu wa Polisi Tanzania, Malale Hamsini ameweka wazi kwamba malengo ya timu hiyo ni kufanya vizuri ndani ya Ligi Kuu Bara ili kuweza kuwa ndani ya tano bora kwa msimu wa Kocha huyo mwenye tuzo ya kocha bora wa mwezi Septemba baada ya kuanza ligi kwa mwendo wa kasi bado timu hiyo ambayo kipa…

Read More

MECHI ZA SIMBA V YANGA, KADI NYEKUNDU NJENJE

VIGOGO wa Ligi Kuu Bara, Simba ambao ni mabingwa watetezi pamoja na Yanga ambao ni mabingwa wa kihistoria wakiwa na mataji 27 ya ligi wakiwa kwenye mechi zao kwa msimu wa 2021/22 kadi imekuwa ni jambo la kawaida. Hii inatokana na ugumu wa mechi hizo pamoja na wachezaji kutumia nguvu kubwa katika kusaka ushindi jambo…

Read More

MAKIPA WALIOPATA TABU MBELE YA FEI TOTO

KWENYE ardhi ya Tanzania mbali na uzuri wa mlima Kilimanjaro pamoja na wakazi wake wenye sifa ya upole na ukarimu kuna kijana anakiwasha kwenye ulimwengu wa soka kwa kufanya kazi ya mpira ionekane kuwa nyepesi. Jina lake anaitwa Feisal Salum wengi wanapenda kumuita Fei Toto ni kijana anayewapa tabu kwa sasa makipa wa Bongo kwa…

Read More

NYOTA HAWA WATAJWA KUINGIA ANGA ZA POLISI TANZANIA

KUMEIBUKA taarifa kuwa Polisi Tanzania wapo kwenye mpango wa kuwasajili viungo wawili wa Azam FC, Mudathir Yahya na Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ ambao wamesimamishwa.   Taarifa hizo zinadai kuwa, Polisi Tanzania wanawataka nyota hao ili kuimarisha kikosi chao na kujiweka katika mazingira mazuri ya kuwania nafasi tatu za juu kwenye msimamo wa ligi mwisho wa msimu.   Chanzo hicho kililiambia Spoti Xtra kuwa: “Upo mpango wa Azam FC kuachana na Mudathir pamoja na Sure…

Read More

STARS YATOSHANA NGUVU NA MADAGASCAR

TIMU ya taifa ya Tanzania leo Novemba 14 imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Madagascar kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo wa leo ulikuwa ni kuhitimisha ndani ya kundi J ambapo alikuwa anatafutwa mshindi kati ya Benin na DR Congo kuweza kutinga hatua ya mtoano na mwisho ni DR Congo…

Read More

SIMULIZI YA ISHU YA SHAMBA KUWA KWENYE MGOGORO

SIMULIZI ya shamba ambalo lilikuwa kwenye mgogoro Jina langu ni Waithera kutoka katika kaunti ya Nairobi. Tulimiliki shamba katika mtaa wa kifahari wa Runda ambapo shamba hilo lilikuwa takriban ekari kumi. Mimi pamoja na mume wangu tulikuwa na hati miliki ya shamba lile na hata tulikuwa tumejenga nyumba za kokodi katika shamba hilo. Muda ulivyosonga,…

Read More

SABABU YA CHAMA KUKAA BENCHI YATAJWA

KOCHA Mkuu wa RS Berkane ya nchini Morocco, Florent Ibenge, amefunguka suala la kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Clatous Chama, kushindwa kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara ndani ya kikosi hicho huku akiweka wazi kuwa mchezaji huyo anahitaji muda zaidi wa kukaa sawa ndani ya timu hiyo. Chama alijiunga na RS Berkane mwanzo wa msimu huu akitokea Simba sambamba na winga wa zamaniwa Yanga, Tuisila…

Read More

YANGA YAZIDI KUIMARIKA

KAMBI ya muda iliyowekwa na vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga inatajwa kuwaimarisha mastaa wa timu hiyo jambo ambalo limemfurahisha kocha wa timu hiyo Nasreddine Nabi. Novemba 9, Yanga ilikuwa ndani ya Bahari ya Hindi na kuibukia Zanzibar ambapo ilikuwa na mechi mbili za kirafiki kwa ajili ya kujiimarisha kuelekea mechinza ligi na ilishinda zote…

Read More

BEKI MATATA AREJEA BARCELONA

DANI Alves beki matata mwenye mataji kibao ikiwa ni mafanikio yake makubwa kwa sasa amerejea tena ndani ya Barcelona baada ya kusepa hapo miaka mitano iliyopita ambapo aliibukia ndani ya Juventus na ikigota Januari anaanza kuvaa uzi wa Barcelona.   Ni makubaliano ya kikanuni ambayo Barcelona wamefikia kwa kuamua kumpa dili beki huyo wa makombe…

Read More