
URENO WANYOOSHWA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA
KATIKA mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia wakiwa kundi A, Ureno walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Serbia wakiwa na Cristiano Ronaldo ambaye alikuwa anapewa nafasi ya kufanya maajabu. Mabao ya Dusan Tadic dakika ya 33 na Aleksandar Mitrovic dakika ya 60 kwa Serbia yalitosha kutibua mipango ya Ureno iliyoanza mapema kabisa kupitia…