Home Uncategorized VIDEO:NAMNA KOCHA MPYA SIMBA ALIVYOWANOA MAKIPA WAKE

VIDEO:NAMNA KOCHA MPYA SIMBA ALIVYOWANOA MAKIPA WAKE

AISHI Manula, Ally Salim, Beno Kakolanya makipa hawa wa Simba wamekuwa wakifundishwa na kocha wao mpya ambaye ameshaanza kazi ndani ya Simba na leo mmoja kati yao atakuwa na kibarua cha kufanya katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC, utakaochezwa Uwanja wa Mkapa.

Previous articleFUNGUA MWAKA KWA FAIDA KWA KUBASHIRI NA MERIDIANBET
Next articleHAPPY NEW YEAR 2022 LIGI KUU BARA IPO HIVI