
HIVI NDIVYO SIMBA WALIVYOTOA ZAWADI YA KRISMASI
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba jana Desemba 24 wametoa zawadi ya Krismasi kwa mashabiki wake baada ya kusepa na pointi tatu mazima mbele ya KMC. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ulisoma KMC 1-4 Simba ikiwa ni ushindi wao wa kwanza kushinda mabao zaidi ya matatu kwenye…