
SIMBA SC KUFANYA USAJILI MKUBWA KUELEKEA MSIMU MPYA
KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26, Simba SC wamebainisha kuwa watafanya usajili mkubwa kupata timu imara…
KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26, Simba SC wamebainisha kuwa watafanya usajili mkubwa kupata timu imara ya ushindani kitaifa na kimataifa. Ipo wazi kuwa Aishi Manula ambaye ni kipa huyu atakuwa ndani ya Azam FC, Omary Omary amepelekwa kwa mkopo Mashujaa FC, Fabrince Ngoma mkataba wake umeisha, Kelvin Kijili atakuwa ndani ya Singida Black Stars ni…
Huku wenzeko wakishinda Mamilioni na Meridianbet, wewe una nafasi ya kuondoka na mshiko wako mapema tuu. Jisajili sasa na ufurahie maokoto yako kwa dau dogo tuu. FC Sheriff Tiraspol atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya FC Prishtina ambao mechi ya kwanza walishinda kwa kishindo. Je wenyeji leo wanaweza kupindua meza kwa ODDS ya 2.95 kwa 2.30….
KHALID Aucho kiungo mkabaji wa Yanga SC huenda akaongeza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake Jangwani. Yanga SC ni mabingwa wa ligi msimu wa 2024/25 na miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye kikosi cha kwanza ni Aucho. Baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700, Aucho alicheza mechi 22 akikomba dakika…
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amekabidhiwa rungu la kufanya maamuzi kwa wachezaji ambao wanapaswa kuondoka katika kikosi hicho na wale ambao watabaki kwa msimu wa 2025/26. Miongoni mwa wachezaji ambao Fadlu amebainisha kwamba anahitaji wabaki inaelezwa ni beki Mohamed Hussen ambaye mkataba wake umeisha akiwa anatajwa kuwa katika rada za Yanga SC. Kocha…
Kinda mahiri wa FC Barcelona, Lamine Yamal, ametia saini mkataba mpya wa muda mrefu na klabu hiyo, ambao utamuweka Camp Nou hadi tarehe 30 Juni 2031. Tangazo hilo lilifanywa rasmi na Barcelona leo Jumanne, na limeambatana na hatua ya kihistoria ambapo Yamal amekabidhiwa rasmi jezi namba 10, namba yenye heshima kubwa katika historia ya klabu…
Huu ni mwezi wa kujikusanyia pesa tu, yaani ukiwa na Meridianbet basi jua umechagua kushinda kila siku kwani wanakutafutia kila namna ya kuhakikisha unanufaika kwa kuwa mwanafamilia wa kampuni hii namba moja ya ubashiri nchini. Na sasa wamekuja na mpya kabisa, Cheza Win&Go bila hofu yeyote ya kupoteza na endapo itatokea umepoteza tiketi yako unapatiwa…
INAELEZWA kuwa Celestin Ecua ambaye ni kiungo wa Zoman FC huenda akasaini mkataba wa miaka miwili kuwa katika kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC. Yanga SC baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 walikusanya jumla ya pointi 82 ikiwaacha watani zao wa jadi Simba SC kwa tofauti ya pointi…
FEISAL Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC kuna asilimia ndogo kuondoka kwenye viunga hivyo kutokana na dau ambalo mabosi wamemuongezea kuelekea msimu wa 2025/25. Taarifa zilikuwa zinaeleza kuwa kiungo huyo asilimia kubwa ataondoka hapo na timu ambayo ilikuwa inatajwa kwa ukaribu ilikuwa ni Simba SC. Mkataba wake na Azam FC ni mwaka mmoja umebaki hivyo…
SHOMARI Kapombe beki wakupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Simba SC mkataba wake umegota mwisho na hajaongeza mkataba mwingine huku ikielezwa kuwa huenda akaondoka. Kapombe ndani ya kikosi cha Simba SC kwenye mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 alicheza mechi 27 akaikomba dakika 2,095. Katika mabao 69 ambayo Simba SC imefunga kahusika kwenye mabao…
PACOME Zouzoua ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara amefunga mabao 12 akitoa jumla ya pasi 10 za mabao kati ya 83 yaliyofungwa na Yanga SC iliyotwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2024/25. Hizi hapa timu ambazo zilifungwa na Pacome namna hii:- JKT Tanzania, mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex kwa mguu wake wa kushoto. Mchezo…
Jumatano ya leo ya mwezi Julai ya tarehe 16, Meridianbet ilifunga safari mpaka Africana huko Mbezi Beach na kutoa msaada wa Reflectors na Helmets kwa bodaboda wa eneo hilo na kuonesha nia yao ya kuwajali na kutambua umuhimu wao kwa jamii yetu inayotuzunguka. Meridianbet imeendelea kuonesha umuhimu wake kwa jamii yake kwani siku ya…
NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussen Zimbwe Jr kuna hatihati huenda akaondoka ndani ya kikosi hicho baada ya kanadarasi yake kugota mwisho msimu wa 2024/25. Zimbwe kwenye ukurasa wake rasmi wa Instgarm ameondoa utambulisho wake kuwa ni mchezaji wa Simba SC. Ipo wazi kwamba kwa sasa yupo huru akiwa hajaongeza mkataba na mabosi wake hao…
SIMBA SC iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC 2024/25 bado ipo kwenye mchakato wa kuendelea kujenga kikosi. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 ndani ya ligi namba nne kwa ubora bingwa ni Yanga SC akitwaa taji la 31 chini ya kocha Miloud Hamdi ambaye hatakuwa katika kikosi hicho…
INAELEZWA kuwa Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 likiwa ni taji lao la 31 wamekamilisha usajili wa staa wa kimataifa wa Guinea, Balla Moussa Conte Conte ni staa wa kimataifa wa Guinea ambaye anakipiga kwenye Klabu ya CS Sfaxien ya Tunisia. Taarifa zinaeleza kuwa Yanga SC ndiyo ilikuwa timu ya…
Meridianbet Tanzania imezindua rasmi qualifiers za Festival Malta 2025 kupitia jukwaa la Playtech Poker, ikikutanisha wachezaji wa Tanzania na fursa ya kushinda package yenye thamani ya TZS 5,550,000, ikijumuisha tiketi ya Main Event Malta, malazi, na pesa taslimu. Kampeni hiyo inaanza Julai 14 na itaendelea hadi Septemba 8, 2025, na qualifiers zinafanyika kila siku kupitia…
Ndoto ya kuwa mshindi wa mamilioni mara nyingi huonekana kuwa mbali kwa wengi kwasababu mara nyingi timu moja huchana mikeka, lakini kwa mchezaji mmoja mwenye ujasiri na matumaini, ndoto hiyo imekuwa halisi. Kupitia Meridianbet Derick Ikula amekuwa mchezaji ambaye ameondoka na zaidi ya shilingi milioni 5, na yote haya yalianza kwa dau dogo la buku moja tu….
Kuna siku ambazo hazifutiki katika kalenda ya soka, na Julai 13, 2025, ni mojawapo. Uwanja wa MetLife, New Jersey, umegeuka jukwaa la kihistoria. Chelsea, timu iliyopuuzwa na wengi mwanzoni mwa mashindano, wameandika upya ramani ya dunia kwa kushinda Kombe la Dunia la Klabu kwa mara ya pili. Lakini hadithi hii haikuanza kwenye fainali, ilianza…