Home Sports ANACHOMOLEWA KIUNGO WA KAZI YANGA

ANACHOMOLEWA KIUNGO WA KAZI YANGA

IMEELEZWA kuwa kuna kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga mwamba Pacome yupo kwenye hesabu za mabosi wa Simba ambao wanapambana kuboresha kikosi hicho kwa ajili ya kurejea katika ubora ndani ya msimu mpya wa 2024/25

Previous articleSHINDANO LA PESA KIBAO LA EXPANSE SASA USIPIME\ CHEZA SASA KASINO
Next articleSIMBA MIKONONI MWA MTIBWA SUGAR