
HERRY SASII KAONYESHA INAWEZEKANA LICHA YA MAKOSA MADOGO
KIVUMBI kinazidi kuwaka kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo kwa msimu huu mpya wa 2021/22 unaoyesha kwamba sio wa kitoto. Wakati ligi inazidi kupamba moto waamuzi wamekuwa ni wimbo unaoimbwa kila wakati kutokana na maamuzi yao kuwa ya maumivu kwa upande mmoja. Makosa yapo lakini haina maana kwamba yawe yanajirudia mara kwa…