
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
NIGERIA wameipoteza Misri katika mchezo wa Kombe la Mataifa ya Afrika,’Afcon,’ ambapo baada ya dakika 90 ubao wa Roumde Adjia ulisoma Nigeria 1-0 Misri. Licha ya uwepo wa staa anayekipiga ndani ya Liverpool, Mohamed Salah, Misri ilikwama kupata ushindi kwenye mchezo huo. Bao la ushindi kwa Nigeria iliyo kundi D lilifungwa na Kelechi Iheanacho dakika…
AHMED Ally, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa walicheza mchezo mkubwa mbele ya Namungo na wanaomba radhi kwa mchezo huo kwa kuwa waliandaa mchezo huo kwa ajili ya watani zao Yanga ambao wametolewa kwa kupoteza wa kufungwa penalti 9-8 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu. Ameongeza kuwa wanahitaji Kombe hilo na wanawatambua Azam FC lakini…
MASTAA wa Yanga ambao walikuwa wanashiriki Kombe la Mapinduzi pamoja na viongozi leo Januari 11 wamerejea Dar wakitokeza Zanzibar ambapo walikuwa na kazi ya kutetea Kombe la Mapinudzi ila walivuliwa na Azam FC baada ya kupoteza kwenye changamoto ya penalti. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo huo ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Azam FC…
PAPE Sakho, kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba amesema kuwa kwake ni furaha kuona timu hiyo inatinga hatua ya fainali ya Kombe la Mapinduzi. Jana Januari 10, Sakho alikuwa ni miongoni mwa nyota walioanza kikosi cha kwanza mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya pili. Simba ilishinda mabao 2-0…
BAADA ya kuvuliwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi jana Januari, 10,2022 leo wamewasili Dar wakitokea Zanzibar. Yanga iliyokuwa inatetea Kombe la Mapinduzi iliishia hatua ya nusu fainali ambapo ilipoteza kwa changamoto ya penalti dhidi ya Azam FC. Dakika 90 zilikamilika kwa timu kutoshana nguvu bila kufungana ugumu ukawa kwenye penalti ambapo Azam ilishinda penalti 9-8…
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Denis Nkane ni kama ameanza vibaya ndani ya timu hiyo baadaya mapema tu kupata uvimbe juu ya goti la kulia na kumfanya kuwa nje ya uwanja kwa muda, huku akiwekwa chini ya uangalizi maalum wa daktari. Nkane ni kati ya wachezaji wanne waliosajiliwa na kutambulishwa ndani ya Yanga katika usajili huu wa dirishadogo uliofunguliwa Desemba 16, 2021 na kutarajiwa kufungwa Jumamosi hii. Wachezaji…
JANUARI 11,2021 kiungo Miraj Athuman, ‘Sheva’ akiwa ndani ya Simba alifunga bao lake la nne katika Kombe la Mapinduzi. Kwenye mchezo huo Simba ilishinda mabao 2-1 na Sheva aliibuka kuwa mfungaji bora. Mwaka 2022 atakuwa kwa kideo akishuhudia tuzo yake ikisepa kwa kuwa kwa sasa anakipiga KMC kwa kuwa hayupo katika mashindano hayo mwaka huu…
OFISA Mtendaji Mkuu wa DTB, Muhibu Kanu ameweka wazi kuwa wapo kwenye mpango wa kuongeza nguvu kwa upande wa safu ya ushambuliaji ili kumuongezea nguvu mshambuliaji Amiss Tambwe. Kwa sasa timu hiyo ipo kwenye mchakato wa mwisho wa kumtangaza James Kotei ambaye ni kiungo mkabaji na aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Simba. Ndani ya…
JANA Januari 10, Namungo FC ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Simba kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi na kuwafanya wafungashiwe virago kwa kuishia hatua ya nusu fainali, Nahimana ambaye ni kipa aliokota mabao mawili yalifungwa na Sakho pamoja na Meddie Kagere ambao waliweza kufunga kwenye mchezo huo.
REKODI zinaonyesha kwamba Azam FC wametwaa Kombe la Mapinduzi mara nyingi kuliko mpinzani wake Simba. Hivyo Azam FC ni wababe mbele ya Simba kwenye Kombe la Mapinduzi kila wanapokutana kwenye mchezo wa fainali. Azam FC imetwaa taji la Kombe la Mapinduzi mara tano huku Simba ikiwa imetwaa Kombe la Mapinduzi mara tatu. Hii inakuwa ni…
Burudani ya soka la Afrika inaendelea. AFCON 2022, Nusu fainali ya EFL Cup sambamba na Super Cup nchini Hispania kutoa mchongo wa wiki. Meridianbet mambo yapo hivi; Nigeria watairusha karata yao ya kwanza kwenye mashindano ya AFCON dhidi ya Mafarao wa Misri. Kelechi Iheanacho uso kwa uso na Mo Salah! Ni nani atayaanza…
Spoti Xtra Jumanne, ukurasa wa mbele Januari 11,2022.
USHINDI wa mabao 2-0 walioupata Simba leo Januari 10 dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Amaan katika Kombe la Mapinduzi unawafanya waweze kutinga hatua ya fainali. Ni mabao ya Meddie Kagere dakika ya 14 na PapeSakho dakika ya 48 yametosha kuwapa ushindi Simba. Sasa Simba itakutana na Azam FC kwenye mchezo wa…
SIMBA inakwenda mapumziko ikiwa inaongoza kwa kufunga bao 1-0 dhidi ya Namungo FC baada ya dakika 45 kukamilika. Ni Meddie Kagere amepachika bao la kuongoza katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Namungo FC. Bao hilo limepachikwa dakika ya 14 baada ya kipa wa Namungo, kutema mpira uliopigwa na…
Hili ni jeshi la Simba dhidi ya Namungo FC, nusu fainali ya pili Kombe la Mapinduzi Uwanna wa Amaan. Mshindi atakutana na Azam FC katika mchezo wa hatua ya fainali.
MABINGWA wa kihistoria kwenye Kombe la Mapinduzi, Azam FC leo wameibuka na ushindi kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi mbele ya Yanga kwa ushindi wa penalti. Dakika 90 zilikamilika kwa timu zote mbili kutoshana nguvu hivyo mshindi ametafutwa kwa kupitia mikwaju ya penalti. Ilikuwa ni moja ya mchezo wenye ushindani mkubwa ambapo…